Asante sana kaka OLE.
Counting on you Bro.
Roho mbaya na choyo vinamsumbua, anaonekana anaendekeza msosi.
Aisee sometime kaka mtu........
Other times.....
Worry not sweetheart. At God's own time you will get a fine young women to be your wife.🙂🙂
cc Eli79, Mndengereko.
Mi kwa kweli jikoni kwangu ndiko ufalme Wang ulipo.naamini hivyo hats nikienda kwa mtu.
Unless uniambie njoo tupike.
Kila nyumba na kila mwanamke ana namna yake ya upishi.
Sitegemei mdada analilia mtu kuingia jikoni kwake.
acha tu.
OLESAIDIMU pokea like 1000!Umenena kwa busara,safi sana!Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................
Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!
....unabahati kupata wifi mstaarabu kama huyu,maana anazingatia mipaka yake. hajui kaka anapenda kula nini, saa ngapi,chakula kipikwe vipi,chimvi kiasi gani au hatumii chumvi. wakati mwingine wanaume tunapenda chakula kipikwe na wake zetu n.k. Mtazamo wangu naona tatizo lipo kwako tayari una mtazamo hasi juu yake. jaribu kumwambia taratibu za nyumbani kwako kama atashindwa ndo umlaumu,vinginevyo sioni tatizo lolote. yeye ameaga anakuja kupumzika kwa kakayake kama unataka akusaidie mwambie....
Thats the Tricky part.
Huyu dada anajuuta kuwafahamu MMU walahi. ila kama ni mtu wa kujifunza, atakuwa amefunguka sana leo.
Kweli kabisa mkuu Tized,,ndio maana naipenda MMU,hamna kukopesha!Natamani kama atajifunza!
Kwani kaja kupika acha mawazo yakijinga kumuhudumia wifi yako sisababu yakuhoji kama umeolewa na watu wawili huow niuswahili nawanaokudanganya hawaitakii mema ndoa yako
I hear the ping!!!!!!