Simuelewi wifi yangu

Simuelewi wifi yangu

Mtasema mengi lakn kwa nyie mnaokwenda majumbani mwa watu pia mwache uvivu kama umeweza ushirikiano wa kula na kujipara onesha pia na wakufanya kazi.
 
Mtasema mengi lakn kwa nyie mnaokwenda majumbani mwa watu pia mwache uvivu kama umeweza ushirikiano wa kula na kujipara onesha pia na wakufanya kazi.

Wanawake wa namna hii ndio kutwa kuchwa kushinda katika saluni na kupaka rangi kucha. Wewe unapungukiwa nini ukifanya kazi zako za nyumbani mwenyewe.? Hiyo nyumba ni yako wewe, mtu kaja kukutembelea unataka akusaidie kazi za hapo nyumbani kivipi.? Inatakiwa uweke hiyo option ya kukusaidia as a standby plan na siyo lazima.

Hizi ni dalili za mwanamke mvivu, mwenye gubu na mchoyo. Somo la ukarimu kwa wageni inaonekana limekupitia mbali sana.
 
Wanawake wa namna hii ndio kutwa kuchwa kushinda katika saluni na kupaka rangi kucha. Wewe unapungukiwa nini ukifanya kazi zako za nyumbani mwenyewe.? Hiyo nyumba ni yako wewe, mtu kaja kukutembelea unataka akusaidie kazi za hapo nyumbani kivipi.? Inatakiwa uweke hiyo option ya kukusaidia as a standby plan na siyo lazima.

Hizi ni dalili za mwanamke mvivu, mwenye gubu na mchoyo. Somo la ukarimu kwa wageni inaonekana limekupitia mbali sana.

Japo halazmishwi mtu lakn ni vema ukasaidia kazi km umekwenda kutembelea ndugu yako usiwe mtu wa kula na kulala wewe pia utakuwa mvivu
 
Wifi yangu amekuja juzi. Ni dada wa mume wangu. Alipofika sikuwepo nilikua kazini. Nilipofika toka kazini nikamkuta amelala. Nikamsubiri alipoamka akaja tukatambulishana tukaendelea na maongezi.

Jana siku ya pili kaamka kaoga kawasha tv, akitoka anaenda kulala. Anaamka anakula anarudi kulala. Leo siku ya tatu ameamka mapema tu ameoga karudi tena kulala. Mwenzenu Simuelewi huyu mwanamke mwenzangu hata mlango wa jikoni haujui. Nimekua kama nina waume wawili. Kuolewa kuna shida wenzangu.
Acha ujinga wako sasa unataka apike na wewe ufanye nini?pia hujui maana ya mgeni yaani hata wiki hajamaliza unamwandika huku kwanini humkaribishi kwa ukarimu na upendo akusaidie wewe ndio tatizo
 
Kwani nani ni mwenye nyumba hapo? Hizo ni dalili za uchoyo na kutopenda watu nyumbani kwako unadhani kuitwa wife ni kucha ndefu lol unyumba kazi.
 
Eeeeeeeh Mungu nisaidie nipate mke mwenye Busara.

Hivi wewe Mwanamke, Kwanza umeulizwa Umri tuu , ushataja na kazi yake mpaka status yake ya ndoa??... Ya nini?
Hivi Umejaribu Kukaa nae mkaongea Japo kidogo....??
Tatizo Unatoka kazini kwako hukoo, na kisimu kikubwa mkononi mda wote mara facebook, mara sjui wap?... kujikweza kibao? Hauna hata mda wa kuongea nae.
Kitu kidogo tuu ushafika, JF......... Au ndio solution at your finger tips?
Hell of a woman.
 
Back
Top Bottom