Simuelewi wifi yangu

Simuelewi wifi yangu

Wewe mama beata unaonekana ni mwanamke mchoyo na mbinafsi, nakumbuka kuna thread uliiweka hapa MMU kuhusu mdogo wa rafiki yako ambaye uliombwa ukae nae kwa muda,
Katika maelezo uliyotoa uligusia suala la chakula, ukawa unaona kama anakufilisi tu, baadhi wakasema wewe ni mbinafsi, na ni mchoyo, kwa hili la wifi yako nimethibitisha yaliyosemwa.
 
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................


Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!

It true broo
 
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................


Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!

Nimeishia kwenye comment yako maana imeshiba kila kitu
 
Unataka afanyekazi kwani huyo ni house girl wako?mwache alale tena me nampongeza ni mstaarabu sana ataki kujishughurisha na mambo ya hapo yasiyomuhusu
 
huyu mwanamke inaonyesha hapendi upande wa mume,maana sioni kama kuna baya hapo alilofanya huyo wifi yake,afu pia nina wasiwasi na utimamu wa akili ya huyu mtoa mada kama anajua majukumu yake(kama mke)...inabidi akafundwe upya huyu...

Bila shaka wewe sio mwanamke
 
Back
Top Bottom