Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,175
- 34,410
duh so bad ndo naiona sasa hii comment yako,sijaenda kiwanjani mwaya there was nothing special and serious!!
no harm done. Worry not.
duh so bad ndo naiona sasa hii comment yako,sijaenda kiwanjani mwaya there was nothing special and serious!!
Unajua maana ya uthibitisho?
hahahahahah
ndio paroko bhana unaacha hii
unarukia ile
thats y i like you my!!!!no harm done. Worry not.
mhhhhhh
nafanyiwa maombi maalum
thats y i like you my!!!!
mwambie miss neddy unanipenda uone atakavyocharuka.
Ujue ni mara moja kwa mwaka hayo maombi maalum.
So ukipandisha mapepo deile utajipanga.
naomba neno my limaliziwe pls
hivi inakuaje rasilimali zote unataka ziwe zako
Hapo umekosea njia. Mi na Mndengereko nothing can come between us.
hata mbuyu ulianza kama mchicha lol
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................
Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................
Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!
MamaBeataNadhani atakua na miaka 20 na kitu hivi. Ni mwalimu wa shule ya msingi hajaolewa bado
huyu mwanamke inaonyesha hapendi upande wa mume,maana sioni kama kuna baya hapo alilofanya huyo wifi yake,afu pia nina wasiwasi na utimamu wa akili ya huyu mtoa mada kama anajua majukumu yake(kama mke)...inabidi akafundwe upya huyu...