Simuelewi wifi yangu

Simuelewi wifi yangu

Muulize ana tatizo gani,afu muite mpige stori jikoni or sebuleni,kuwa muwazi japo in a kind way,ama muulize mumeo
smtym wageni wanakuwaga na aibu esp kama hajajakuzoea
 
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................


Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!

Hii imekaa poa sana. Siku nyingine hawezi kuanzisha mada za kijinga na kitoto kama hii.
 
Unataka afanyekazi kwani huyo ni house girl wako?mwache alale tena me nampongeza ni mstaarabu sana ataki kujishughurisha na mambo ya hapo yasiyomuhusu

haah haah mkuu umeua! unajua kuwa na mke dizaini ya mleta uzi ni shida sana aisee.
 
Yaani unatamani aingie jikoni kwako,si ungekuja na makamasi hapa? Na pia lazima ujue hali yake,je amekuja kupumzika na kupunguza mawazo au mgonjwa?jaribu kuwa karibu na ndg na sio kununanuna na kuja kushitaki humu jf.
Timiza wajibu wako,wifi yako ni mstaarabu anayejua mipaka yake km mgeni
 
Huyo ni mtu mstaarabu sana sababu hapo ni kwako sasa akikurupuka mpaka jikoni wakati hajakaribishwa ungesema anakuingilia!!!!!!!
Either ways wewe siku ya tatu tu ushaanza mpaka ku post huku, je angekuja mgonjwa kukaa hapo mwezi mzima!!!????
Kwanza wewe mtu wa kazini so hushindi hapo kazi anafanya dada labda sasa wewe nini taabu yako!!!!???
Leo wkend kesho sikukuu muamshe mwambie mwende sokoni mkanunue vya kununua na mkija fikia naye jikoni mpe nyanya muombe akusaidie wakati wewe unafanya mengine then anzisha story kuwa uko happy kwa ujio wake sababu sikukuu mtapika vyakula mbalimbali kwa kushirikiana, mtamaliza mapema na ku enjoy.................


Sikuhukumu ila ni kama hupendi ndugu wa mume au una ghubu flani kama sio mvivu..........ungekuwa mke wangu ningekuchana live!!!!!
MamaBeata pitia huu ushauri tafadhali!!
 
Last edited by a moderator:
mependa ushauri huu as nimeolewa nina familia na wify ninao so naelewa jinsi ya kuwa handle hata hawanipi shida
 
Pole mleta Uzi,ILA kwa akili ya kawaida,mwanamke yeyote aliyezaliwa na Eva,lazima uwe na aibu.Haiwezekani siku ya kwanza mpaka ya tatu,mke wa mtu anatoka kazini Yuko hoi,wewe unashinda home na tv tu.Haiingi akilini,pengine mleta mada ukimya unamponza ndo maana,lakini ukweli ni kwamba,hata huyo dada hajitambui.
 
Back
Top Bottom