Wadau wote natumaini mnaendele vema.
Jambo linalonifanya nijekwenu leo ni kwamba, kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nilikuwa sijapata rafiki wa kuwasiliana mpaka kukutana.
Nilikuwa napata wakuwasiliana tu maana wengi walikuwa ni wa mbali lakini.
Kama wiki mbili hivi nimebahatika kupata msomi wa chuo kikuu, nikweli tulikutana tukala kuku na kunywa, sikuwa na haraka ya kumtongoza ili nigegede.
Wiki imepita sasa kila nikimtongoza anakataa katakata hataki.
Lakini nikikaa kimya bila kuwasiliana nae hata saa moja analalamika na kutuma sms nyingi kunilaumu.
nikitaka awe mpenzi wangu hataki sasa wadau hii nini?
Maana mi naumia ndomaana naamua kukaa kimya ili nipotezee lakini yeye hataki nikimtongoza hataki.
Mawazo yenu wadau.
Jambo linalonifanya nijekwenu leo ni kwamba, kwa mara ya kwanza toka nijiunge na JF nilikuwa sijapata rafiki wa kuwasiliana mpaka kukutana.
Nilikuwa napata wakuwasiliana tu maana wengi walikuwa ni wa mbali lakini.
Kama wiki mbili hivi nimebahatika kupata msomi wa chuo kikuu, nikweli tulikutana tukala kuku na kunywa, sikuwa na haraka ya kumtongoza ili nigegede.
Wiki imepita sasa kila nikimtongoza anakataa katakata hataki.
Lakini nikikaa kimya bila kuwasiliana nae hata saa moja analalamika na kutuma sms nyingi kunilaumu.
nikitaka awe mpenzi wangu hataki sasa wadau hii nini?
Maana mi naumia ndomaana naamua kukaa kimya ili nipotezee lakini yeye hataki nikimtongoza hataki.
Mawazo yenu wadau.