Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu mmebarikiwa.
Iko hivi, kuna kazi nliipata mikoa ya Kanda ya Ziwa na nlitegemea kupata pesa nyingi sana ila kwa bahati mbaya mambo yamekwenda tofauti kabisa.
Wakati nafika huku nilikutana na rafiki yangu ni mchungaji nilimuahidi nikipata pesa hizo nitamsupport kifedha kwenye huduma ya Mungu kwa kweli alifurahi, akawa ananipgia simu kama nisipomtafuta na wakati mwingine hata akiwa kwenye maombi nikipiga simu anapokea faster na kunijuza kwamba anaomba.
Sasa nilipompa taarifa ya ile ambayo nilitegemea kuipata kama vile wahusika wamekuwa wababaishaji aisee yule ndugu ame change naweza mtumia sms na asijibu kabisa na wakati kifurushi anacho, maana naweza mtumia sms kama leo halafu unashangaa kesho yake anapiga simu anasema sms nliiona ila nlijisahau tu kujibu na hii siyo kawaida yake.
Hapa nataka kufuta namba zake tu nimpotezee kabisa, binadamu wengi sana tabia zao ni mtu atakuona wa maana sababu kuna maslahi yake kwako nje hapo ni suala la muda tu.
WAKUU MTU WA NAMNA HII SI NI SAHIHI KUMPOTEZEA TU?
Iko hivi, kuna kazi nliipata mikoa ya Kanda ya Ziwa na nlitegemea kupata pesa nyingi sana ila kwa bahati mbaya mambo yamekwenda tofauti kabisa.
Wakati nafika huku nilikutana na rafiki yangu ni mchungaji nilimuahidi nikipata pesa hizo nitamsupport kifedha kwenye huduma ya Mungu kwa kweli alifurahi, akawa ananipgia simu kama nisipomtafuta na wakati mwingine hata akiwa kwenye maombi nikipiga simu anapokea faster na kunijuza kwamba anaomba.
Sasa nilipompa taarifa ya ile ambayo nilitegemea kuipata kama vile wahusika wamekuwa wababaishaji aisee yule ndugu ame change naweza mtumia sms na asijibu kabisa na wakati kifurushi anacho, maana naweza mtumia sms kama leo halafu unashangaa kesho yake anapiga simu anasema sms nliiona ila nlijisahau tu kujibu na hii siyo kawaida yake.
Hapa nataka kufuta namba zake tu nimpotezee kabisa, binadamu wengi sana tabia zao ni mtu atakuona wa maana sababu kuna maslahi yake kwako nje hapo ni suala la muda tu.
WAKUU MTU WA NAMNA HII SI NI SAHIHI KUMPOTEZEA TU?