Simuelewi huyu mwanaume

Simuelewi huyu mwanaume

belinda john

Member
Joined
May 5, 2015
Posts
34
Reaction score
28
Habari zenu wana JF,

Naombani ushauri wenu,

Nina rafiki yangu wa kiume nimedate nae kwa miezi kadhaa sasa, tunaendelea vizuri kwenye mahusino tatio linakuja kwenye sex life yetu, sijui ni anapendelea romance sana kuliko sex ama sielewi. Ila nilivyomuuliza alisema anapenda vyote he is good in romance na tukifanya romance anadinda kabisa na anachafua mpaka suruali ila sasa tunaishia kuromance tuu hatuendelei kwenye kugegedana, sielewi tatizo ni nini?

Kwa mara ya kwanza tulijaribugi kufika mbali ila gari lilishindwa kupanda mlima nikamuuliza nini tatizo akasema haelewi kipi kinatokea sababu kwenye foreplay kitu kilikuwa tayari kimesimama kabisa. Nilivyomuuliza akasema haelewi labda amechoka,i nshort nilihisi labda ndio matatizo ya nguvu za kiume maana binafsi najiamini na najiamini sababu nilikokwisha kupita hadi leo wanatakaga warudie mchezo na mie ila sielewi kipi kitatokea na huyu mtu mpya wangu.
 
Habari zenu wana JF,naombani ushauri wenu,nina boyfriend wangu nimedate nae kwa miezi kadhaa sasa,we are good in relationship the problem inakuja kwenye sex life yetu,sijui ni anapendelea romance

Make-out/ necking.

sana kuliko sex ama sielewi,ila nilivyomuuliza alisema anapenda vyote,he is good in romance
Make-out/ necking.
na tukifanya romance

Make-out/ necking.

anadinda kabisa na anachafua mpk suruali ila sasa tunaishia kuromance

Make-out/ necking.

Sorry for being a grammar snob but I just had to correct you. I couldn't help it.

I'm in my grammar-police mode today.

So watch out.
 
Jaribun kuanza moja kwa moja sex. Akishindwa bac ujue una uhusiano na hanisi
 
Haha uyo mpaka apigwe starter kwisha habari yake. Mkiwa mnafanya uzinzi ukiona gari linasua sua yani kama futa linataka mlimani mpige ndolele au mshike matako atawaka tena mzigo kama kawa. Ndo vijana wetu wa ckuhz Viroba/Nyeto ni janga la taifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom