Simuelewi huyu mwanamke

Simuelewi huyu mwanamke

Ok, kumbe kutokusimamisha kwako sio tatizo ok... !!! tatizo ni mrembo!!!! kwa kifupi nadhani wewe ndio tatizo....ukijitambua utaelewa kwanini husimamishi na kwanini mrembo anakushobokea,, sababu hudindishi mwanamke anakuganda....jichunguze mkuu... hakuna mwanaume anayependa kusikia mwamaume mwenzie hasimamishi,, ni fedheha sana.....kuna kitu unaficha hapa...sema tuu....mitandaoni ni kujiachia tuu...
ikiwa umeaua kuwaza vyovyote waza tu sitokuzuia maana kichwa ni chako
 
MKUU labda ameona kitu kwako maana cku hizi maisha ni magum sana..nkushauri tu km umeshaona kwa mda huu huwez kmtimizia mahitaj mwanamke wala usijihangaishe kuwa na mahusiano ya kazi gan mkuu?we jali mambo yako ona sasa umemwambia mpk matatizo yako unajuaje kama atakutunzia siri zako?maana hapo unaweza kuwa mtumwa kwake ili tu akufichie hyo siri uliomwambia........endelea na maisha yako mpk utpopata ufumbuz wa tatizo lako kama ulivyopanga awali usiruhusu mtu akuharibieplan zako bila mpango
sure
 
nikamwambia nilishakupa ruhusa ufanye mambo yako lakini mdogo mdogo nisijue sasa mbona imekuwa hivi tena, nikamwambia basi kama vipi wewe endelea naye tu isiwe tabu maana jinsi hii nitakuwa nalia kila siku kitu ambacho sikitaki, akalia sana, akampigia huyo bwana wake na kumwambia kuwa hamtaki hapo mbele yangu, nikamwambia hiyo zuga tu lazima uwasiliane naye tu, kiufupi nikaamua kukata mawasilino naye, lakini sasa amekuwa kero, kila wakati ni simu..sms muda wote, sasa sifahamu anachotaka kwangu ni nini wakati anajua siwezi mpa anachotaka, namshangaa na sijamuelewa nimemuambia endelea na maisha yako!
binadam viumbe wa ajabu sana, hata punda ukimsaidia mzigo anashukuru!
 
Ebu funguka shida yako zaidi humu kuna madokta asilia na wakisasa ww kuwa huru kama kuna mtu unahsi anakujua zaidi kwa hii id na unataka privacy njoo na id mpya ufunguke upate msaada
 
Ebu funguka shida yako zaidi humu kuna madokta asilia na wakisasa ww kuwa huru kama kuna mtu unahsi anakujua zaidi kwa hii id na unataka privacy njoo na id mpya ufunguke upate msaada
niliyoandika ndio yanayonisibu, unafikiri nimeficha chochote?
 
nikamwambia nilishakupa ruhusa ufanye mambo yako lakini mdogo mdogo nisijue sasa mbona imekuwa hivi tena, nikamwambia basi kama vipi wewe endelea naye tu isiwe tabu maana jinsi hii nitakuwa nalia kila siku kitu ambacho sikitaki, akalia sana, akampigia huyo bwana wake na kumwambia kuwa hamtaki hapo mbele yangu, nikamwambia hiyo zuga tu lazima uwasiliane naye tu, kiufupi nikaamua kukata mawasilino naye, lakini sasa amekuwa kero, kila wakati ni simu..sms muda wote, sasa sifahamu anachotaka kwangu ni nini wakati anajua siwezi mpa anachotaka, namshangaa na sijamuelewa nimemuambia endelea na maisha yako!

Sikia Mkuu kwanza wewe huja penda kujishughurisha kabisa kuhusu swala la hizo nguvu zako maana huyo mtu anaamini kuwa ukifuatilia hilo tatizo lako litapona, Unless utuambie ukweli wewe ni gay au?

Hapo kitambo nilikuwa na demu mmoja aliwahi nipa story kama hii kuwa alimpendaga huyo jamaa mpaka kesho ila kuja kugungua ni Gay ilisha pita 6 month maana kidudu kilikuwa kikiingia tuu kamwagaaa, kwendaaaa weeeee kuja kustuka kumbe mtu hapeleki mzigo ipasavyo


Sasa na wewe hebu jicheck kwanza usimlaumu mdada kwanza
 
Me msaaada nawea kukupa kabisaa na huyo Dokta yuko Congo (zaire) huwa anakujaga huku Mwanza Dar Arusha huwaga anawateja wake anawatibu anazo dawa mzeee ukionja tuu glass moja mweeeeeeeeeeeeeeeee mbona maisha yako rahaaaa kabisaaaaaaa, Funguka nikupe namba yake ya simu ya huko Congo
 
Me msaaada nawea kukupa kabisaa na huyo Dokta yuko Congo (zaire) huwa anakujaga huku Mwanza Dar Arusha huwaga anawateja wake anawatibu anazo dawa mzeee ukionja tuu glass moja mweeeeeeeeeeeeeeeee mbona maisha yako rahaaaa kabisaaaaaaa, Funguka nikupe namba yake ya simu ya huko Congo
niwekee namba yake pm
 
Kwanza nikiri kuwa mimi ni mwanaume ambaye ni muhanga wa nguvu za kiume, na kutokana na tatizo hilo niliabika mara kadhaa huko nyuma hivyo binafsi nikaamua niwe single mpaka nitakapopata ufumbuzi wa tatizo langu.

Nikiwa katika kusubiri huko ndipo nikakutana na huyu dada ambaye tulikuwa marafiki tu mwanzoni lakini baadae akanifungukia kuwa ananipenda na anataka niwe mpenzi wake, mwanzoni sikumtilia maanani lakini baadaye nilikuja kujua kuwa anamaanisha, nilishindwa kukubali kuwa naye kwa kuhofia kumdissapoint ikabidi nimwambie tu ukweli kuwa nina tatizo a b c, alilia sana siku hiyo kisha akanambia nakupenda hivyo hivyo ulivyo, nikaguna tu nikakausha.

Kiuhalisia sikuweza kumtimizia mahitaji yake ya kimwili hivyo nikatumia tu ujasiri nikamwambia najua wewe ni binadamu na hutokaa hivyo siku zote hivyo ukijisikia genye tafuta mtu akukune lakini nisijue maana itaniuma tu kwa vyovyote, akakataa katakata nikajua tu nadanganywa. Baadaye nikafahamu yupo na mtu nikamuuliza akakubali niliumia sana, narudi.
Mh! Pole sana... sasa unaumiaje na ulimruhusu mwenyewe... Mwe
 
Je umepata tiba?
Je tatizo lilianza ukubwani??
Je upo tayari kusaidiwa pindi ukieleza tatizo lako kiundani?
Karibu....!
 
Asikuumize kichwa huyo, wekeza nguvu na akili katika kutatua tatizo lako.
 
Kwa hiyo umejitekenya na kucheka mwenyewe? Ruksa utoe wewe halafu uumie wewe kwa nini uliintertain mambo ambayo huna uwezo nayo? Tafakari, chukua hatua.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kwa hiyo umejitekenya na kucheka mwenyewe? Ruksa utoe wewe halafu uumie wewe kwa nini uliintertain mambo ambayo huna uwezo nayo? Tafakari, chukua hatua.
Hahahaah katoa ruhusa halafu analalamika.....!!
 
Kwanza nikiri kuwa mimi ni mwanaume ambaye ni muhanga wa nguvu za kiume, na kutokana na tatizo hilo niliabika mara kadhaa huko nyuma hivyo binafsi nikaamua niwe single mpaka nitakapopata ufumbuzi wa tatizo langu.

Nikiwa katika kusubiri huko ndipo nikakutana na huyu dada ambaye tulikuwa marafiki tu mwanzoni lakini baadae akanifungukia kuwa ananipenda na anataka niwe mpenzi wake, mwanzoni sikumtilia maanani lakini baadaye nilikuja kujua kuwa anamaanisha, nilishindwa kukubali kuwa naye kwa kuhofia kumdissapoint ikabidi nimwambie tu ukweli kuwa nina tatizo a b c, alilia sana siku hiyo kisha akanambia nakupenda hivyo hivyo ulivyo, nikaguna tu nikakausha.

Kiuhalisia sikuweza kumtimizia mahitaji yake ya kimwili hivyo nikatumia tu ujasiri nikamwambia najua wewe ni binadamu na hutokaa hivyo siku zote hivyo ukijisikia genye tafuta mtu akukune lakini nisijue maana itaniuma tu kwa vyovyote, akakataa katakata nikajua tu nadanganywa. Baadaye nikafahamu yupo na mtu nikamuuliza akakubali niliumia sana, narudi.
heeeee
 
Hahahaah katoa ruhusa halafu analalamika.....!!
Mhu halafu anasema bado anamfuata. Ningekuwa mimi naacha anipigie halafu napokea ila siongei naye ili amalize salio. hahahahaha. Mawazo ya kibibi hayo.
 
Back
Top Bottom