Markberry1555
Senior Member
- Jan 6, 2019
- 147
- 164
Huyu dada nimetokea kumpenda, ila anasema yuko form six now, lakini kwenye mitandao ya kijamii hakauki. Nimemuuliza jana mbona kama uko nyumbani sio shuleni. Anasema anaumwa anaemia, kaenda muhimbili kupewa matibabu. Na yuko home anameza dose. Sasa cha kushangaza anasema anaemia yake anatibiwa muhimbili tu. Nikimuta njoo nirambee, hataki visingizio kibao. Ila hakauki kuomba pesa. Nisadieni wadau huyu mschana anamaanisha nini ety? Ananipenda kweli?
Angalia asije akakufia kijana. Huo ugonjwa ni nouma. Akifika kileleni unaweza kuamka na kitu kikaishia hapo. Utakumbuka ule wimbo wa Kafia geto.Huyu dada nimetokea kumpenda, ila anasema yuko form six now, lakini kwenye mitandao ya kijamii hakauki. Nimemuuliza jana mbona kama uko nyumbani sio shuleni. Anasema anaumwa anaemia, kaenda muhimbili kupewa matibabu. Na yuko home anameza dose. Sasa cha kushangaza anasema anaemia yake anatibiwa muhimbili tu. Nikimuta njoo nirambee, hataki visingizio kibao. Ila hakauki kuomba pesa. Nisadieni wadau huyu mschana anamaanisha nini ety? Ananipenda kweli?
Demu akikwambia anaumwa, ujue anataka pesa, kashindwa kukwambia nahitaji pesa tu.Huyu dada nimetokea kumpenda, ila anasema yuko form six now, lakini kwenye mitandao ya kijamii hakauki. Nimemuuliza jana mbona kama uko nyumbani sio shuleni. Anasema anaumwa anaemia, kaenda muhimbili kupewa matibabu. Na yuko home anameza dose. Sasa cha kushangaza anasema anaemia yake anatibiwa muhimbili tu. Nikimuta njoo nirambee, hataki visingizio kibao. Ila hakauki kuomba pesa. Nisadieni wadau huyu mschana anamaanisha nini ety? Ananipenda kweli?
mshauri chochote kijana wa Dar es salaam.πππππππ jamani yaani tukushauri nini sasa Hapo?