Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,742
- 40,965
Mwambie wanaume hatuishi hivyo
Hizi ni dalili za mzee mmoja jirani, kazaa na binti zake wawili wa kuzaa mwenyewe!Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.
Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchawi. Akimuona mwanae anafurahi sana lakini akiniona tu unakua mkinywa mwenye sura ya ukauzu
Hata nilipompa ujauzito binti yake kabla sijamuoa mzee aliwahi kuniambia namtaka mwanae ili nipate ahueni ya kimaisha, lakini sikuwahi kumuomba hata chumvi huyu mzee mwenye mwenye tuhela twa tia maji tia maji.
Mtoto wake na mama mkwe wananipenda sana lakini dingi kauzu dagaa kama mwarabu fighter nipeni ushauri wazee au nimkate kidevu.
By mdau mmoja hapa Dar
Mpuuze tuNimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.
Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchawi. Akimuona mwanae anafurahi sana lakini akiniona tu unakua mkinywa mwenye sura ya ukauzu
Hata nilipompa ujauzito binti yake kabla sijamuoa mzee aliwahi kuniambia namtaka mwanae ili nipate ahueni ya kimaisha, lakini sikuwahi kumuomba hata chumvi huyu mzee mwenye mwenye tuhela twa tia maji tia maji.
Mtoto wake na mama mkwe wananipenda sana lakini dingi kauzu dagaa kama mwarabu fighter nipeni ushauri wazee au nimkate kidevu.
By mdau mmoja hapa Dar
Km ni mtamu atamrudishaje Chifu??.Huyo mzee kigagula, mrudishie binti yake
Sahihi kabisaTafuta hela ,
Endelea na mambo Yako,
Ukipata Hela ipo Siku Atakuelewa.
Ulituma na ya kutoleaBora hata wako. Baba Mkwe wangu hana namba yangu ukimpigia kumsalimia anakuuliza we nani unajitambulisha siku zinaenda. Mara ya pili tena unaulizwa we nani mtu ana nguvu kabisa nkajitumia na ka pesa ka mafuta ya gari lake akaona ila hawezi kusevu namba. Mara ya 3 namsalimu anauliza tena we nani nikajitambulisha nika relax ni mwaka wa 3 huu salam nazisikia kwa mwanae. Akaanza niingilia kwenye familia yangu niliwasha Moto huko kwao hamna nae ongea nae sina shida kabisa staki ujinga
Ulituma na ya kutolea
Usitusumbue tena kumbe unajua kinachomfanya afurahiAliwahi kutabasamu mara moja baada ya kununuliwa suti ya piere cardin
Vaa uso wa Kanda ya ziwa, uone kama hajawa mpoleNimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.
Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchawi. Akimuona mwanae anafurahi sana lakini akiniona tu unakua mkinywa mwenye sura ya ukauzu
Hata nilipompa ujauzito binti yake kabla sijamuoa mzee aliwahi kuniambia namtaka mwanae ili nipate ahueni ya kimaisha, lakini sikuwahi kumuomba hata chumvi huyu mzee mwenye mwenye tuhela twa tia maji tia maji.
Mtoto wake na mama mkwe wananipenda sana lakini dingi kauzu dagaa kama mwarabu fighter nipeni ushauri wazee au nimkate kidevu.
By mdau mmoja hapa Dar
Wazaramo hao au sio ?Kuna kabila la kaskazini wana tabia hizo
That is so me.Sasa unataka uongee nini na baba mkwe mkuu basi ukitaka hivyo mpe issue za kupata pesa hapo ndo mtakuwa na mazungumzo marefu.
Mimi siyo mkwe tu hata baadhi ya ndugu nikikutana nao kama baada ya salamu wao hawajaanza mazungumzo basi hapo tutakesha maana huwa sina cha kumsemesha mtu na kama ana mambo ya maana ya kuzungumza nitachangia kama hana napiga kimya,ni aina tu ya watu wako hivyo usichukulie ubaya.
mda wa kukaa kuangaliana na baba mkwe unautoa wapi???Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.
Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchawi. Akimuona mwanae anafurahi sana lakini akiniona tu unakua mkinywa mwenye sura ya ukauzu
Hata nilipompa ujauzito binti yake kabla sijamuoa mzee aliwahi kuniambia namtaka mwanae ili nipate ahueni ya kimaisha, lakini sikuwahi kumuomba hata chumvi huyu mzee mwenye mwenye tuhela twa tia maji tia maji.
Mtoto wake na mama mkwe wananipenda sana lakini dingi kauzu dagaa kama mwarabu fighter nipeni ushauri wazee au nimkate kidevu.
By mdau mmoja hapa Dar