Kama pesa ya mahari alilipa yote hadaiwi kitu inamtosha, kwanza mzee anatakiwa amshukuru jamaa maana amempunguzia bajeti ya chakula, mavazi na matibabu nyumbani kwake?Inaonekana hujawahi Kumpa baba mkwe pesa
Nimawaza hilo, huenda alimdinya mwanaeUmemchukulia utamu wake lazima akumind
Aisee unapata wapi muda wa kuonanaq na baba mkwe ?? Mimi nilipotoa mahal kisha sendoff ya wife aisee ilipita almost 2 years sijaonana na wakwe.Ila wajukuu nawapelekea wakawasalimie na mama yao ndio anakwenda nao mara moja mojaAnaninyima raha kiongozi yaani tukibaki wawili no story ni mikausho tu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Dingi nenda naye bar mpigisha mitungi kisha mtafutie malaya, believe me atakuwa mshkaji wako kinoma. Mm nimewahi fanya hiyo kwa mjomba angu lakini
Anataka ampige mnadaKweli mzee humuelewi hadi umemleta jukwaa la biashara uchumi na ujasiriamali
Kuna kabila la kaskazini wana tabia hizoNimawaza hilo, huenda alimdinya mwanae
Hata mimi nilikuwa najiuliza mbona inaonekana mtoa uzi yupo karibu sana na baba mkwe? ... nahisi tatizo lilianzia hapa ...Kuna umuhimu gani wa kukutana na Baba Mkwe wako mara kwa mara.??
Kutana nae kwa ishu maalum na sio kuzoeana.
Sisi nyumbani ukiwa barabarani ukamuona Baba Mkwe /Mama Mkwe kwa mbali, mmoja wenu ubadilisha njia ili mladi msikutane.
Mimi ndani ya miaka 4 naeza enda ukweni mara mbili au moja ... na mawasiliano mpaka kuwe na ishu ya maanaAisee unapata wapi muda wa kuonanaq na baba mkwe ?? Mimi nilipotoa mahal kisha sendoff ya wife aisee ilipita almost 2 years sijaonana na wakwe.Ila wajukuu nawapelekea wakawasalimie na mama yao ndio anakwenda nao mara moja moja
Mengi tuKuna kabila la kaskazini wana tabia hizo
Sasa unataka uongee nini na baba mkwe mkuu basi ukitaka hivyo mpe issue za kupata pesa hapo ndo mtakuwa na mazungumzo marefu.Ananinyima raha kiongozi yaani tukibaki wawili no story ni mikausho tu
Safi sana.Utaanzaje kugombana na wakwe au mashemeji kwa style hii.Live your life mambo tunajitakia tuMimi ndani ya miaka 4 naeza enda ukweni mara mbili au moja ... na mawasiliano mpaka kuwe na ishu ya maana
😂😂😂😂😂Anataka ampige mnada
Hapana.Huyo mzee kigagula, mrudishie binti yake