Huyo mkeo ulichumbia? Au ulimtorosha tuMpaka sasa nimemzidi nahisi mzee haamini kama kachaa nimechukua mwanae
Hili ndio la msingi, wakwe wa dizaini hio ni kuwakazia tu mwanzo mwisho, tena kama una mazoea ya kumpigia simu kumsalimia achana nayo, akishapata wajukuu wawili watatu utamuona anabadilika mwenyewe.
Muhimu jitahidi kila unapohisi anakukwaza we potezea, ila ikifia usiku ukiwa na binti yake unalipa kisasi cha babamkwe.
Huyo mkeo ulichumbia? Au ulimtorosha tu
Anahisi unafaidi balaa kama mwanae anamiliki wowowo
Aisee unapata wapi muda wa kuonanaq na baba mkwe ?? Mimi nilipotoa mahal kisha sendoff ya wife aisee ilipita almost 2 years sijaonana na wakwe.Ila wajukuu nawapelekea wakawasalimie na mama yao ndio anakwenda nao mara moja moja
Acha unyongeNimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.
Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchawi. Akimuona mwanae anafurahi sana lakini akiniona tu unakua mkinywa mwenye sura ya ukauzu
Hata nilipompa ujauzito binti yake kabla sijamuoa mzee aliwahi kuniambia namtaka mwanae ili nipate ahueni ya kimaisha, lakini sikuwahi kumuomba hata chumvi huyu mzee mwenye mwenye tuhela twa tia maji tia maji.
Mtoto wake na mama mkwe wananipenda sana lakini dingi kauzu dagaa kama mwarabu fighter nipeni ushauri wazee au nimkate kidevu.
By mdau mmoja hapa Dar
Ukute moyoni anajisemea " huyu umbwa hakustahili kumuoa mtoto wangu'Mpaka sasa nimemzidi nahisi mzee haamini kama kachaa nimechukua mwanae
Kama anakula tungi uwe unaenda nae bar ila make sure analewa sana yeye kuliko wewe.Ananinyima raha kiongozi yaani tukibaki wawili no story ni mikausho tu
JE UNA ISHI KWA HISANI YA MKE?Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.
Acha dharau anajua utakua unamkunja sana mwanae afu kingine huyo dingi enzi zake alikua muhuni sana usikute aliwahi kumtomba hawa wazee wa Dar sio watu wazuriNimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.
Mpe bia za kutosha siku 1 mpka moyo wake ukufungukieNimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.
Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchawi. Akimuona mwanae anafurahi sana lakini akiniona tu unakua mkinywa mwenye sura ya ukauzu