Simuelewi Baba Mkwe wangu

Hili ndio la msingi, wakwe wa dizaini hio ni kuwakazia tu mwanzo mwisho, tena kama una mazoea ya kumpigia simu kumsalimia achana nayo, akishapata wajukuu wawili watatu utamuona anabadilika mwenyewe.
Muhimu jitahidi kila unapohisi anakukwaza we potezea, ila ikifia usiku ukiwa na binti yake unalipa kisasi cha babamkwe.

Kabisa kiongozi
 
Aisee unapata wapi muda wa kuonanaq na baba mkwe ?? Mimi nilipotoa mahal kisha sendoff ya wife aisee ilipita almost 2 years sijaonana na wakwe.Ila wajukuu nawapelekea wakawasalimie na mama yao ndio anakwenda nao mara moja moja

Kuna somo hapa
 
Tafuta pesa mkuu ili uache kuleta 'sredi' kama hii...

Uzia wote huo, hapo mchawi ni shekeli tu...
 
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.

Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchawi. Akimuona mwanae anafurahi sana lakini akiniona tu unakua mkinywa mwenye sura ya ukauzu

Hata nilipompa ujauzito binti yake kabla sijamuoa mzee aliwahi kuniambia namtaka mwanae ili nipate ahueni ya kimaisha, lakini sikuwahi kumuomba hata chumvi huyu mzee mwenye mwenye tuhela twa tia maji tia maji.

Mtoto wake na mama mkwe wananipenda sana lakini dingi kauzu dagaa kama mwarabu fighter nipeni ushauri wazee au nimkate kidevu.


By mdau mmoja hapa Dar
Acha unyonge

Chapa kazi, make money and earn respect

Wazee wengine ni washamba sana
 
Mazoea sio mazuli na wakwe mkutane kwenye shuuli za muhimu kukutana mala kwa mala ndo dharau zinaanza apo
 
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.
Acha dharau anajua utakua unamkunja sana mwanae afu kingine huyo dingi enzi zake alikua muhuni sana usikute aliwahi kumtomba hawa wazee wa Dar sio watu wazuri
 
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake.

Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni dalili ya uchawi. Akimuona mwanae anafurahi sana lakini akiniona tu unakua mkinywa mwenye sura ya ukauzu
Mpe bia za kutosha siku 1 mpka moyo wake ukufungukie
 
Back
Top Bottom