Huwa unampa hela za matumizi? Kama humtoi, anza sasa. Upendo utarudi kwa kasi ya 4g!Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu



Sasa nini kinakuwasha ikiwa umeamua kusonga mbele kivyako?Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on,
Wewe inakuhusu nini, ni yeye. Wewe endelea na yanayokuhusu ikiwa ni kukaa kimya au kujibu.kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.
Acha kuchanganya upendo na vitu vya kijinga weweKuna upendo hapa wadau?
Ha ha ha umejuaje?Ndio hivyo Mkuu. Ninahisi kadada pia ni kafupi hivi. Ndio huwa vina tabia ya hivyo.
Hapo mekupat mkuuSasa nini kinakuwasha ikiwa umeamua kusonga mbele kivyako?
Kuna vitu uliona haviko sawa na usimamie hivyo daima. Acha upumbav kurudi nyuma wakati nafsi ilishanusa hatari. Tatizo unawaza kwa kichwa cha chini. Biblia inasema, KIUNGO KIMOJA KIKIKUKOSEA KATA UKITUPE,....... YAFAA KIUNGO KIMOJA KIPOTEE ILI KUPONYA MWILI WOTE NA JEHANAM. Hapa akili kichwani...
Wewe inakuhusu nini, ni yeye. Wewe endelea na yanayokuhusu ikiwa ni kukaa kimya au kujibu.
Acha kuchanganya upendo na vitu vya kijinga wewe
Unaenda kupigwa na kitu kizito utosini..anyway huyo hajatulia , kama unampenda mzalishe alaf umuoe , vinginevyo utachunika alaf atazalishwa na wahuni wengineHope mko salama,
Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.
Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.
Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.
Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.
Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.
Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.
Kuna upendo hapa wadau?
Mimi nime sha move on mkuuUnaenda kupigwa na kitu kizito utosini..anyway huyo hajatulia , kama unampenda mzalishe alaf umuoe , vinginevyo utachunika alaf atazalishwa na wahuni wengine
Sasa umekuja na uzi wanini kama umemove onMimi nime sha move on mkuu
Katakuwa ni kaskinny girl halafu maji ya kunde ingawa maji ya kunde yenyewe ni kijani.Ndio hivyo Mkuu. Ninahisi kadada pia ni kafupi hivi. Ndio huwa vina tabia ya hivyo.
atakusumbua huyo mkazie hivyo hivyoHope mko salama,
Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.
Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.
Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.
Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.
Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.
Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.
Kuna upendo hapa wadau?
ndio maana hujielewi mekupat ndio nin sas acha ujingaHapo mekupat mkuu