Simuelewi anataka nini

Simuelewi anataka nini

Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on,
Sasa nini kinakuwasha ikiwa umeamua kusonga mbele kivyako?

Kuna vitu uliona haviko sawa na usimamie hivyo daima. Acha upumbav kurudi nyuma wakati nafsi ilishanusa hatari. Tatizo unawaza kwa kichwa cha chini. Biblia inasema, KIUNGO KIMOJA KIKIKUKOSEA KATA UKITUPE,....... YAFAA KIUNGO KIMOJA KIPOTEE ILI KUPONYA MWILI WOTE NA JEHANAM. Hapa akili kichwani...
kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.
Wewe inakuhusu nini, ni yeye. Wewe endelea na yanayokuhusu ikiwa ni kukaa kimya au kujibu.


Kuna upendo hapa wadau?
Acha kuchanganya upendo na vitu vya kijinga wewe
 
Sasa nini kinakuwasha ikiwa umeamua kusonga mbele kivyako?

Kuna vitu uliona haviko sawa na usimamie hivyo daima. Acha upumbav kurudi nyuma wakati nafsi ilishanusa hatari. Tatizo unawaza kwa kichwa cha chini. Biblia inasema, KIUNGO KIMOJA KIKIKUKOSEA KATA UKITUPE,....... YAFAA KIUNGO KIMOJA KIPOTEE ILI KUPONYA MWILI WOTE NA JEHANAM. Hapa akili kichwani...
Wewe inakuhusu nini, ni yeye. Wewe endelea na yanayokuhusu ikiwa ni kukaa kimya au kujibu.



Acha kuchanganya upendo na vitu vya kijinga wewe
Hapo mekupat mkuu
 
Hope mko salama,

Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.

Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.

Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.

Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.

Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.

Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.

Kuna upendo hapa wadau?
Unaenda kupigwa na kitu kizito utosini..anyway huyo hajatulia , kama unampenda mzalishe alaf umuoe , vinginevyo utachunika alaf atazalishwa na wahuni wengine
 
Unaenda kupigwa na kitu kizito utosini..anyway huyo hajatulia , kama unampenda mzalishe alaf umuoe , vinginevyo utachunika alaf atazalishwa na wahuni wengine
Mimi nime sha move on mkuu
 
Hope mko salama,

Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.

Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.

Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.

Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.

Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.

Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.

Kuna upendo hapa wadau?
atakusumbua huyo mkazie hivyo hivyo
 
Km hutak kuziona izo texts zake mtie kabatini mkuu kitu gan huelew,na km huna furaha uko ulikomove on ongea nae huwez jua alikua anapitia nn
 
Dalili zinaonyesha hakuna mapenzi hapo. Ss unachotafuta kitu gani mkuu?... Inaelekea Bado huja move on ndo Mana anakufikirisha. Tafuta demu mwengine, kwani hauna mpk ss?
 
Back
Top Bottom