Simuelewi anataka nini

Simuelewi anataka nini

Hope mko salama,

Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.

Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.

Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.

Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.

Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.

Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.

Kuna upendo hapa wadau?
Alikua na mtu anamdanganya, ulimvyomdelete na jamaa kamzingua anataka kurudi
 
Hope mko salama,

Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.

Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.

Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.

Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.

Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.

Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.

Kuna upendo hapa

mara boss
Wewe ni boss wake unataka upendo wa nini?
 
Kamepigwa chini huko kanataka kujirudisha kwako ..endelea kuvunga hivyo hivyo kajambazi hako
 
Wote me naona mna akili za kitoto.
Watu wazima uzungumza na kufikia muafaka na kila mtu kujua nafasi yake

Sio lazima mzungumze,mtu akiku ghost mwambie Rest In Peace then potea zako,atajua mwenyewe
 
Anataka asikupoteze wewe na kule alipo pia asipapoteze. Hivyo anataka kudhibiti au kushikilia sehemu mbili kwa wakati mmoja lakini sehemu ile ya kule inaonekana ina nguvu kushinda ya kwako.
huu ukweli ndo huuma watu
 
Hope mko salama,

Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.

Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.

Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.

Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.

Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.

Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.

Kuna upendo hapa wadau?
Mmeanza kuchokana mmezoeana Sana. Chamsingi inakubidi umuoe muendelee na maisha
 
Wewe una umri gan? Nisije nikaandika comment ya kuhukumu.,kumbe tatzo ni umri
 
Hope mko salama,

Niko na mahusiano na mwanamke kwa miezi 5 sasa, mwanzoni tulikua tupo vizuri tuu calling , chatting, sex etc.

Sasa mwezi huu mwanzoni akanza kufanya vitimbwi, visa vya ajabu ajabu, mara unaongea naye kwenye simu kidogo anakwambia ana usingizi, message hajibu kwa wakati, sometimes anaweza kuona missed call asikutafute kabisa, na status anapost na yuko online.

Ukimuuliza nini shida, anasema hakuna shida! Yaani akawa kama yupo tuu, alikua ananiita bby, mara akaanza kuniita ndugu yangu, mara boss etc.

Sasa nikaamua kufanya maamuzi ya ku move on, maana niliona kabisa hakuna tena mapenzi, nikaamua kukaa kimya kabisa nikawa simtafuti tena, wala kumpigia tena simu.

Akaanza kunitumia message mbona kimya tatizo ni nini, nikawa sijibu, akipiga sipokei.

Sasa kilichonileta hapa ni hiki, kila siku lazima anitumie ujumbe wa usiku mwema my love, na asubuhi hivyo hivyo, ana siku karibu tisa anafanya hivyo na sijawahi mjibu hata siku moja na hachoki.

Kuna upendo hapa wadau?

Upendo Uko wanandoa ambao wa naishi pamoja, wewe tafuta upendo kwenye vitabu vyako vya shule
 
Back
Top Bottom