Muyobhyo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 8,149
- 6,551
simu ambazo ni brand za kichina ni nzuri sana, mie nina infinix, camera yake kwanza ina 20mg, ikipiga mpaka unywele inatoa, ina camera bomba sana na iko fast sana, ukiwasha sekunde 5 tayari ishaaccumulate kila kitu kwenye desktop yakeNi Mwaka sasa natumia Xiaomi Mi Max Prime 4GB Ram 128GB Battery 4850. Ipo kama ilivyokuwa siku ya kwanza.Sijutii kuinunua