Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Kuweka makubaliano na mwenzio namna ya kuandika majina kwenye phone books ni jambo muhimu sana, vinginevyo, matakuwa mnajenga mazingira ya kila mmoja kupata wasiwasi juu ya mwenzie...!
kwa nini watu wanapotosha maana ya ndoa?
sidhani kama kuna haja ya kukubaliana jinsi ya kuandika majina, lakini cha muhimu ni kuwa freee na simu zenu, mimi sioni logic ya watu wanaoishi pamoja, kulala pamoja na kila kitu ni kimoja cha kifamilia, lakini mwisho wa siku kunakuwa na usiri kwenye simu, simu za wanandoa zinatakiwa kuwa free muda wote na kwa yoyte