goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 943
- 1,110
Jamaa amezinguana na mkewe.
Mkewe kakimbilia kufungasha mizigo na vyombo vya ndani. Ameacha amefanya uharibifu kwa kuvunja simu ya msela kwa maksudi. Simu hiyo alinunuliwa na mme wake sasa eakati anaondoka mme alimtaka aiche (lengo mme akague kuona kama kuna ajenda iliyojificha yq yeye kuondoka)
Sasa mke kakimbilia ustawi wa jamii anataka matunzo ya mtoto. Mtoto ana miaka miwili.
Hii imekaaje, jamaa adai mwanae akae nae(uwezo wa kumlea anao) au ni lazima tu apeleke matuzo getoni
kwa mama wa mtoto alieamua kuondoka mwenyewe bila kufukuzwa wala kupigwa
Mkewe kakimbilia kufungasha mizigo na vyombo vya ndani. Ameacha amefanya uharibifu kwa kuvunja simu ya msela kwa maksudi. Simu hiyo alinunuliwa na mme wake sasa eakati anaondoka mme alimtaka aiche (lengo mme akague kuona kama kuna ajenda iliyojificha yq yeye kuondoka)
Sasa mke kakimbilia ustawi wa jamii anataka matunzo ya mtoto. Mtoto ana miaka miwili.
Hii imekaaje, jamaa adai mwanae akae nae(uwezo wa kumlea anao) au ni lazima tu apeleke matuzo getoni
kwa mama wa mtoto alieamua kuondoka mwenyewe bila kufukuzwa wala kupigwa