Simu za mkopo

Simu za mkopo

Habari ndugu ninaomba kuuliza kama kuna uwezekana wa kufungua sehemu ya laini mama kwenye hizi simu za mkopo ili hiyo sehemu ambayo huwa ni laini namba 1 iweze kutumika kwa laini yoyote kama umeshamaliza deni!

ahsante.
Kufanya hivyo ni kukiuka mashariti ya mkopo ambayo uliyakubali na ukasaoni kuwa umeyakubali

Kuwa makini usije ukafingwa
 
ujinga wa simu za mkopo uko hivi:-
-Hawakwambii ukweli unapochukua simu..
-Pesa utakayotoa mwanzoni wanadai hyo ni riba(tuseme umetoa 177,000) siku ya inayofuata unaanza kulipa mkopo ukiSTOP hata one day wanaifunga simu(mf.Onfon)
-Wanakusanya taarifa zote zako wakati unatumia simu kuanzia location,list of apps,the time you use in every app,messages,camera,photo yaan kila kitu inshort they spy on you!!!!!
-Hakuna kuandikishana na hawakupi document yyt ile ya umilki wala inayoonesha utaratibu zaidi wanakupa mdomo(wezi) na wanafanya hivi ili usiweze kuchukua legal steps incase ukija kujua wamekurubuni!(Wameniuzia infinix hot 50 pro plus wakidai nilipe 177 halaf baadae kila mwezi ntakuwa nalipa 93 kwa miezi sita)Kesho yake nataka kulipa naingixa menu naambiwa ntalipa 93 kila mwezi kwa mwaka mzima yaan simu ya 550,000 nilipe 1300000!!!!!!!!Ujinga.
-Ukiwapigia wanakupaki no any help wanajua usipolipa wanaifungia simu kwakuwa wameshainstall device admin app inaitwa adamThink na unapojaribu kuDEACTIVATE inagoma!!!Inshort hawana tofauti na DECI na vile vikampuni vya kitapeli vilivyoibukaga wakat wa nyuma.
-Mimi nimesamehe hyo 177000 waliochukua,kwasabab siwez kulipa juu yake 1131500 kwa miezi 12 nje ya makubaliano ambayo waliniambia ningelipa kama 550000 hv kwa miezi 6!!!Hapo siwez..hii simu kwakuwa wameifungia nitaitunza kama kumbukumbu ya kupigwa!
SIMSHAURI MTU KUKOPA SIMU those guyz are pure thieves!!!!!!
This is interesting. Sikuwa najua ni kwa namna gani hawa jamaa wanaweza kucontrol simu yako endapo ukadefault mkopo wao. Nilihisi labda wanaiblock simu kupitia imei number. Kumber its a software wana install na kuipa admin privelledge.


Sasa nataka kujua, hakuna namna unaweza kuiby-pass iyo software..either by flashing the smarthphone au kwa kuinstall custom rom?
 
This is interesting. Sikuwa najua ni kwa namna gani hawa jamaa wanaweza kucontrol simu yako endapo ukadefault mkopo wao. Nilihisi labda wanaiblock simu kupitia imei number. Kumber its a software wana install na kuipa admin privelledge.


Sasa nataka kujua, hakuna namna unaweza kuiby-pass iyo software..either by flashing the smarthphone au kwa kuinstall custom rom?
Zinaflashiwa vizuri tu ila wanaoflash wanakuwa wagumu sana wanaogopa kuchomeshwa labda mpaka akujue.
 
Habari ndugu ninaomba kuuliza kama kuna uwezekana wa kufungua sehemu ya laini mama kwenye hizi simu za mkopo ili hiyo sehemu ambayo huwa ni laini namba 1 iweze kutumika kwa laini yoyote kama umeshamaliza deni!

ahsante.
Wasailiana na waliokukopesha Ina maana umewasahau
 
Hai

Haitamsaidia chochote
Bonyeza *#06# tuone kama zipo imei mbili, tuanzie hapo, kama hazipo mbili hawezi kupata mtandao

Najadili na wewe mimi kama fundi simu
Am not closed minded, please be advised to learn about MDM
 
Back
Top Bottom