Simu yangu Tecno L8 haijai haraka, msaada tafadhali

Simu yangu Tecno L8 haijai haraka, msaada tafadhali

Asanteh mkuu nawezaji badiri font bila ku root maana nimejaribu google sijapata msaada
hutaweza mkuu hadi simu iwe na option hio. kama ukienda setting hakuna option ya kubadili font ujue ni hadi uroot
 
Tatizo lipo kwenye charger unayotumia

Katika circuits za hiyo charger yako kuna capacitor za output ndizo zinazofanya charger yako iwe na mzunguko mrefu wa kutoa output
 
TECNO hawana jipya, simu zao nyingi ni 1.3GHz frequency.
Kila siku 1.3GHz.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom