Ahsante chiefnenda playstore dowbload app inayoitwa ampere.
ukiwa unachaji simu fungua hio app then angalia ni kiasi gani kinaingia. ukiona ni chini ya 1000mA ujue chaja sio nzuri.
chaja ya kichina nzuri kanunue oraimo ya 2Amps inauzwa 8000 aggrey.
Ilo tatizo, ni chaja system imekufa na sio betri. Wanatengeza dakika ziroKa kilongalonga kangu ka L8 tecno kameugua ugonjwa wa kutojaa haraka asee, waweza chaji kwa masaa zaidi ya nane na kasijae, nimebadili chaja zaidi ya tatu, lakini tatizo lingalipo.
Wajuvu wa haya mambo, naomba tusaidiane
Nting'irawanyuma
Kwani mwanzo ilikua inatumia masaa mangap kujaa?!Hilo tatizo nilikuwa nalo kweny Tecno J8 nimebadili usb natumia ya kichina. Sshivi n chaji masaa mawili t inajaa
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Mkuu chaja nzuri ntumie kwenye simu ijae haraka(ambay ntaipata Tz hpahapa na sio ya kuagiza) Simu yangu ina fast charging.nenda playstore dowbload app inayoitwa ampere.
ukiwa unachaji simu fungua hio app then angalia ni kiasi gani kinaingia. ukiona ni chini ya 1000mA ujue chaja sio nzuri.
chaja ya kichina nzuri kanunue oraimo ya 2Amps inauzwa 8000 aggrey.
fast charging zipo nyingi ni ipi? ipo ya qualcomm, mediatek, exynos, oppo, etcMkuu chaja nzuri ntumie kwenye simu ijae haraka(ambay ntaipata Tz hpahapa na sio ya kuagiza) Simu yangu ina fast charging.
Ningeomba unitajie za Qualcomm na mediatek maana kwa sasa nina Phantom 6+ na LG.fast charging zipo nyingi ni ipi? ipo ya qualcomm, mediatek, exynos, oppo, etc
pia 2A charger na fast charging ni karibia zinafanana kwenye kueka chaji sema fast charging asilimia za mwanzo inajaza upesi upesi then kwenye kumalizia inapunguza speed.
chini hapo kwenye kitako nyuma hakuna kiupenyo cha kuuvuta huo mfuniko?Ndugu zangu kama mada inavyojieleza hapo juu, jana nimenunua simu ya TECNO L8 Lite.<br /><br />Lkn kwa uharaka niliokuwa nao nikasahu kuuliza namna ya kufungua mfuniko wa nyuma kwa ajiri ya kuweka line.<br /><br />Najua hapa wataalamu mpo simu imenishinda kufungua kabisa, naombeni ujuzi huo![]()
Pia hzo 2A charger ni kama zipi (majina) na bei ikoje?fast charging zipo nyingi ni ipi? ipo ya qualcomm, mediatek, exynos, oppo, etc
pia 2A charger na fast charging ni karibia zinafanana kwenye kueka chaji sema fast charging asilimia za mwanzo inajaza upesi upesi then kwenye kumalizia inapunguza speed.
ni lg ipi mkuu?Ningeomba unitajie za Qualcomm na mediatek maana kwa sasa nina Phantom 6+ na LG.
Bado haujapata charge nzuri ya J8, ukipata utajaza full kwa muda usiozidi lisaa.Hilo tatizo nilikuwa nalo kweny Tecno J8 nimebadili usb natumia ya kichina. Sshivi n chaji masaa mawili t inajaa
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
LG G3.ni lg ipi mkuu?
kwa hio phantom ushauri wangu tumia hio 2A charger, sababu ni adimu sana kuzipata fast charging, ila kama still utazitafuta kuna simu zinazotumia mediatek helio x20 kama hio phantom kama vile
-xiaomi redmi note 4 mediatek version
-meizu 6 series kama pro 6,
ukipata charger zake zitakubali.
LG G3.
So nikienda tu dukani niulizie 2A charger?!, au zina majina kabisa I mean models mbalimbali...
bei halisi ni shilingi 8000 watakuanzia juu kama 12,000 hivi so washushe.LG G3.
So nikienda tu dukani niulizie 2A charger?!, au zina majina kabisa I mean models mbalimbali...