Simu yangu inajiwasha na kujizima yenyewe sababu nilireboot

University_Promo

JF-Expert Member
Sep 29, 2018
749
660
Habari wadau wa JF,

Natumia Tecno L8 Plus, kuna siku nilireboot baada ya kuona line ya upande mmoja haisomi network. Tangu nireboot huwa inajiwasha yenyewe na kujizima. Inavyojiwasha huwa inaishia kwenye logo ya Tecno na kujizima na baadae inawaka kabisa na kuja kwenye uwanja wa apps na naitumia vizuri na baadae huanza upya kujiwasha na kujizima hufanya hivi kila siku.

Je, nifanyeje ili tatizo la kujiwasha na kuijizima liishe immediately?

Msaada tafadhali.
 
Kajaribu kuiflash mkuu ukiona baada ya kuiflash inasumbua basi juu hunasimu tena hapo inakuwa software zishakufa .Itabidi ununue nyengine tu
Habari wadau wa JF,

Natumia Tecno L8 Plus, kuna siku nilireboot baada ya kuona line ya upande mmoja haisomi network. Tangu nireboot huwa inajiwasha yenyewe na kujizima. Inavyojiwasha huwa inaishia kwenye logo ya Tecno na kujizima na baadae inawaka kabisa na kuja kwenye uwanja wa apps na naitumia vizuri na baadae huanza upya kujiwasha na kujizima hufanya hivi kila siku.

Je, nifanyeje ili tatizo la kujiwasha na kuijizima liishe immediately?

Msaada tafadhali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Smartphone yangu bado inaendelea kujiwasha nakujizima yenyewe bado sijajua cha kufanya kutatua tatizo nienjoy na matumizi.
 
Smartphone yangu bado inaendelea kujiwasha nakujizima yenyewe bado sijajua cha kufanya kutatua tatizo nienjoy na matumizi.
chukua simu yako nenda nayo kwa fundi,mwambie tatizo.fundi wa maana.

ataipeleka kwa mwenye computer wajaribu kusolve ,ikifaa unalipa,ikifeli wanaifungua kucheki hardware.andaa 15000.
 
Back
Top Bottom