Simu yako ya kwanza iko wapi katika hizi??

Simu yako ya kwanza iko wapi katika hizi??

sioni siemens A50.
nakumbuka ilikuwa 2004, nilidangnya home tutakwenda tour serenget national park, hivo inahitajika kulipia usafiri, niakepwa nikanunua sim hiyo tsh 75000. full kushobokewa na madem. life was so good by then
 
nakumbuka ilikuwa 2004, nilidangnya home tutakwenda tour serenget national park, hivo inahitajika kulipia usafiri, niakepwa nikanunua sim hiyo tsh 75000. full kushobokewa na madem. life was so good by then

safari ya serengeti ulienda sasa baada ya kununua simu mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom