Simu ya siri

Ndugu, ya nini kuhangaika na mambo ya mpenzi wako? Wewe hangaika na kutafuta Fedha tu. Fedha zikusumbue, na mwanamke pia akusumbue? Angriiiiiii!
Kinachotakiwa ujiepushe na kumfuatilia fuatilia na kuliza uliza maswali, utaepusha mengi.
Ukimuona ana simu hata 3, au ana namba ambayo wewe huijui usimuulize kitu, wewe zingatia tu jinsi anavyotimiza majukumu yake katika penzi lenu.

umeongea kitu cha maana sana mkuu.
 
Huyo nizigo tena zigo la mavi likiwa kubwa litakulemea na likiwa dogo litakunukia.
 
Habari wana ukumbi, naomba tupeane mawazo na ushauri juu ya hili, simu ya mpenzi nimeidivert na call recordings akashtuka sasa majuzi nimebamba na simu nyengine na line nyengine ambayo hutumika mimi nikiwa sipo, anasema ni ya mazingumzo ya siri kati yake na familia yake. Tupeane ushauri mimi limeniumiza kichwa

I have no comment since she is not your wife (kisheria na au kidini).
 
manyoya hayo tayr ,,,na ww ucnge dvet mbona uchunguz tu unatosha me kwa jnc nilivyo haki ya nan hata kama wf yupo zanzbar me npo kgoma ntajua tu 2kiwa nae ndo kabisa haluki popote kwa experence nilionayo
 
Mnapaswa kumsaidia mbinu zote za kunasa mawasiliano kuliko kumshambulia mnakofanya
 
Habari wana ukumbi, naomba tupeane mawazo na ushauri juu ya hili, simu ya mpenzi nimeidivert na call recordings akashtuka sasa majuzi nimebamba na simu nyengine na line nyengine ambayo hutumika mimi nikiwa sipo, anasema ni ya mazingumzo ya siri kati yake na familia yake. Tupeane ushauri mimi limeniumiza kichwa
achana na presha za simu wanawake ni wajanja hata ukimzuia kutotumia simu akiamua kuchepuka atachepuka kwani zamani kabla ya simu watu walikuwa hawachepuki,angalia mapungufu yako yafanyie kazi,mtunze,mgegede vizuri mpende etc atatulia
 
Back
Top Bottom