Umenena Bramo: Kwa nini hawamuulizi masuala ya tija ya kitaifa -- kama vile kwa nini Kagoda haipelekwi mahakamani iwapo ushahidi upo kibao kwamba nani alikupua ile mihela? CRDB walitakiwa kueleza walimpa nani hiyo mihela --SIMPO!!
Au kwa nini Chenge hasimamishwi mahakamani kwa tuhuma za kuchukuwa mlungula wa radar na huku wapelelezi wa UK -- SFO wamesha nena, na BAE wenyewe kukubali kosa?
Halafu mwasema eti simu yake ina tija yoyote. MIAFRIKA BWANA!!!!!!
Si kila kitu ni tija kwa kila mtu! pia hizo habari za chenge na wengine ni ngumu kuzijibu kwenye sms! how?