kipps
Senior Member
- Jan 2, 2014
- 180
- 109
Sipekui kwa nia mbaya, ila napenda kuishika simu ya mke wangu
teh teh teh eti unapenda kuishika teh teh
Sipekui kwa nia mbaya, ila napenda kuishika simu ya mke wangu
Siku nikiwa najisikia kugombana ndo napekua na huwa sikosi sababu y ugomvi...
Ila siku nikiamua amani itawale sishiki simu yake wala simruhusu kushika yangu....
We masai dada wewe! Mna-share ile kitu namesa mensake, itakuwa simu! Kweli ndito mrembo. Ila jiandae kwa magonjwa ya mishipa damu, usimfuatilie alacho kuku, wala maji ya kumwagilia mchicha, utakufa kwa utapia mlo.
Hapo kwenye RED ndio habari yote
Usiniprove wrong...tatizo mtu akitia nia ya ugomvi hakosi sababu...
Hata mashosti naweza kuulizwa nliongea nao nini.....sasa kisa cha kuvuruga amani ni nini? Kila mtu na simu yake.....!
Hata kama ni mpenzi/mume, ana faragha yake. Heshimu faragha ya mtu. Hata wewe kuna mambo ambayo unataka yabaki yako tu, si kila kitu una-share na mpenzi/mume. Mahusiano hayanyang'anyi ile wewe kuwa wewe, hayakufanyi ujiingize kwenye nafsi ya mtu mwingine au mwanamme kujiingiza kwenye nafsi yako(kama we ni 'ke). Ndoa za wazee wetu zilidumu sana,si kwamba hakuna michepuko, bali walifunzwa namna ya kuepuka mambo yanayoweza kuharibu ndoa. Babu yangu aliwahi kunifundisha kuwa,mwanamme wakati wa kurudi nyumbani jioni, usinyate/usivizie wala kusikiliza kwanza yanayozungumzwa. Alinishauri niwe na kiashiria fulani kwamba baba anakuja, mf kuimba,kupiga mluzi,kikohozi nk, zunguka maeneo ya nyumbani kwako kabla ya kuingia ndani.tatizo nalotaka kujua UNAFICHA NINI???
Kwa usalama wa afya yako na ulinzi wa watoto na vyombo vya thamani,,, usipekue simu yake.
Kwa wapenzi waaminifu, pekua simu yake maana ni fahari ya zawadi waliokosa wengi.
Yaani ni sahihi kupekuana vifanyio ila kupekua simu mnashangaa
Yaani ni sahihi kupekuana vifanyio ila kupekua simu mnashangaa
da sitakaa nisahau nilishika cm ya aliekua mchumba wangu nilitukanwa hakuna mfano.
naambiwa cm ina siri nzito sitakiwi kuigusa na hakuna mwanamke yeyote yule atakaekuja kushika cm ile.. dah nilitukanwa sitakuja kusahau mungu amsaidie tu huko aliko.
kuangalia kama ana michepuko
Wadau naombeni mnisaidie, hivi ni sahihi kwa mwanaume/mwanamke kupekua cm ya mke/mume, girlfriend/boyfriend, mchumba wake? :sleepy:
eenh ndo nn hivo..... ukiwa unapekua yangu na mi nachukua yako