Simu ya mke au mme

Simu ya mke au mme

Heheheeeeeeeee shost umenikumbusha mbal sana....mpenz wang wakwanza ck nlishikaa cm yake nkakuta msg ya mwanamke akaniambia iyo moja tu nikuoneshe na nyingine....nmekoma na ctorudia

Duuu huyo mpenz wako kiboko, bora ungetulia nalo moyoni ucmwambie ulichokiona
 
wife alikuwa anapekua akanifumania kwa sms zaidi ya Mara alafu na mademu tofauti sasa hivi hamu imemuisha. ingawa yake nacheki ila yangu spidi imekuwa 10 toka 100

na hizo sms za hao naniino wako kwa nn huzifut kama unamuheshim mkeo
 
Back
Top Bottom