Dah....how? Jifunze mifumo ya kuchaji inavyofanya kazi.....chaji ni nishati...ina hisabatu zake za kuingia....ina hisabati jinsi inavyotokaBetri litakufa mapema
Betri litakufa mapema
wacha ubishi,hawa jamaa zenu wanakuja na kitu ambacho wengine waliishafanya.Dah....how? Jifunze mifumo ya kuchaji inavyofanya kazi.....chaji ni nishati...ina hisabatu zake za kuingia....ina hisabati jinsi inavyotoka
Wenzetu wanafanya utafitiHuko tuendako haya madude yatalipuka yenyewe sasa
Umeeah sikia tesla cars zimegeuka mabomu? Watu wanaumiza vichwamobile phucking bombs
Tutakuwa tunatembea kama tuna mabomu ya kutupa kwa mkono kama makomandooHuko tuendako haya madude yatalipuka yenyewe sasa
Utakapokuwa umeipata ya namna hiyo mkuu unatarajia kuitwa commando naniTutakuwa tunatembea kama tuna mabomu ya kutupa kwa mkono kama makomandoo
Komando joni😂Utakapokuwa umeipata ya namna hiyo mkuu unatarajia kuitwa commando nani
Sent from my cupboard using mug