Simu ya Huawei Y 530, inanigomea kuwaka

Simu ya Huawei Y 530, inanigomea kuwaka

Chrismoris

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2017
Posts
14,381
Reaction score
18,166
Naomba kujua tatizo la simu yangu. Huawei Y 530. Inanigomea kuwaka. Na kila ninapoiwasha kuna maelezo inaniletea. Naamini hapa jukwaani kuna wataalamu au wabobez wa teknolojia waliowahi kukutana na tatizo hili au kama hili. Naombeni msaada wenu. Niweze kutatua shida hii.

573428c9f77ce83cc0f67b40d08dbe5e.jpg
 
Simu inaeleza kabisa hapo connect na HiSuite,ni software maalumu kwa Huawei kama ilivyo itunes kwa iphone,HiSuite itakuwezesha ku manage simu yako kwa PC cha kufanya tafuta kwenye mitandao HiSuite na Download then connect.
 
Simu inaeleza kabisa hapo connect na HiSuite,ni software maalumu kwa Huawei kama ilivyo itunes kwa iphone,HiSuite itakuwezesha ku manage simu yako kwa PC cha kufanya tafuta kwenye mitandao HiSuite na Download then connect.
Nashukuru mkuu
 
Simu inaeleza kabisa hapo connect na HiSuite,ni software maalumu kwa Huawei kama ilivyo itunes kwa iphone,HiSuite itakuwezesha ku manage simu yako kwa PC cha kufanya tafuta kwenye mitandao HiSuite na Download then connect.
Vipi nkitaka kui flash kabisa. Ni sahihi ?
 
Ok. Ingia mtandaoni download file la hyo simu then fata process jinsi ya kuiflash. Usiogope maana unatumia memory card kuflash
File la simu hii nalitambuaje

Naomba na maelezo ya ziada ya jinsi ya ku flash kama hutojali.
 
Back
Top Bottom