Simu ya Huawei Y 530, inanigomea kuwaka

Simu ya Huawei Y 530, inanigomea kuwaka

Zima SIMU yako. Alafu washa ukiwa umeshika kitufe cha kuongea sauti pamoja Na kitufe cha kuwashia Kwa pamoja. Fuatilia magizo yaliyotokea wakati ukiwasha. Kumbuka kutoa line kwanye SIMU.
 
Zima SIMU yako. Alafu washa ukiwa umeshika kitufe cha kuongea sauti pamoja Na kitufe cha kuwashia Kwa pamoja. Fuatilia magizo yaliyotokea wakati ukiwasha. Kumbuka kutoa line kwanye SIMU.
Bado sjafanikiwa boss
pamoja na kufanya hayo yote
 
Please connect ur usb cable and open hi suite je umepakua hi suite ukaweka kwa pc yako ? je umeinstall drivers kwa pc yako then ukaconnect nakufanya inachokueleza ?
Nmeshaiweka hio hisuite. Ila nashndwa ku connect na simu
 
Mkuu mm yangu nilichajia powerbank hizi za hovyo hovyo imepiga shoti ...ukiweka chaji inaingia ila haijai...nikajifanya kwenda kwa fundi... siku moja mafundi wa3 wanashindwa sasa hizo bisibisi za kutwa nzima simu imekua kimeo vibaya mno.... mpaka nmeiflash

pole sana mkuu ila usikurupuke kwenda kuitia bisibisi
 
Naomba kujua tatizo la simu yangu. Huawei Y 530. Inanigomea kuwaka. Na kila ninapoiwasha kuna maelezo inaniletea. Naamini hapa jukwaani kuna wataalamu au wabobez wa teknolojia waliowahi kukutana na tatizo hili au kama hili. Naombeni msaada wenu. Niweze kutatua shida hii.

573428c9f77ce83cc0f67b40d08dbe5e.jpg
Inaleta maandishi gani?
 
Mkuu mm yangu nilichajia powerbank hizi za hovyo hovyo imepiga shoti ...ukiweka chaji inaingia ila haijai...nikajifanya kwenda kwa fundi... siku moja mafundi wa3 wanashindwa sasa hizo bisibisi za kutwa nzima simu imekua kimeo vibaya mno.... mpaka nmeiflash

pole sana mkuu ila usikurupuke kwenda kuitia bisibisi
Baada ya ku flash ilikaa sawa ?
 
Hizi simu huwa kimeo yangu ilinisumbua mpaka ilipoibiwa
 
Baada ya ku flash ilikaa sawa ?
tangu juzi batani ya kupandishia sauti imetumbukia ndani. nikiwasha inaniambia No command, nmehangaika weeh kuiflash wapi ,nmerudi kwa fundi kapandisha hio keyboard imejiflash yenyewe nmeanza upya ,Haijazingua mpaka sasa ila najihesabia sina simu
 
Back
Top Bottom