Simu Samsung note 1 original inauzwa bei gani?

Simu Samsung note 1 original inauzwa bei gani?

Aya wee mshindi tumia basi hiyo note 2. Wenzako wanaishi dunia ya sasa wewe unaishi zama za mawe. Ni nini maana ya certified duka la Samsung? Walikuonyesha certificate ambayo wamepewa na hao Samsung?
Mkuu una maneno mengi.We taja bei iliyokuwa inauzwa then utoe angalizo kuwa kwa sasa hazipo au hazipatikani.
 
Mkuu una maneno mengi.We taja bei iliyokuwa inauzwa then utoe angalizo kuwa kwa sasa hazipo au hazipatikani.
Ili nini? Mimi sio mfanyabiashara. Ukienda kwenye maduka hata kama ni certified wa Samsung watakuuzia hiyo note 1 hata kama ukweli wanaujua. Wafanyabishara wako kwa ajili ya kupata faida only na sio kumpa elimu mteja juu ya kitu kizuri.
 
Back
Top Bottom