Simu kujibonyeza yenyewe inapokuwa mfukoni

Simu kujibonyeza yenyewe inapokuwa mfukoni

Screenshot_20210817-081050.jpg
 
Halafu nimeshangaa sana wewe kuwa na simu kama hiyo,hizo simu zilitangazwa na nokia wenyewe kwamba wamekosea kuzitengeza na wakazizuia zisiuzwe iweje wewe unayo?,au pengine taarifa zilichelewa kukufikia meku?
 
Ni issue ya screen sensitivity kuwa juu, fuatilia hii video ingawa imefanyika kwa Nokia 5.4

 
Halafu nimeshangaa sana wewe kuwa na simu kama hiyo,hizo simu zilitangazwa na nokia wenyewe kwamba wamekosea kuzitengeza na wakazizuia zisiuzwe iweje wewe unayo?,au pengine taarifa zilichelewa kukufikia meku?
Mkuu hiyo nisimu moja matata Sana Infinix akasome
 
Habari wana JF... nina simu smart Nokia 1 nikiweka mfuko wa suruali inajibonyeza yenyewe muda mwingine inampigia mtu au inaandika matusi..

Tatizo nini, msaada tafadhli ...nokia made in china
Kama ni hivyo... basi shida itakua kwenye touchscreen aidha imechoka sana (imepasuka) ama touch imekaa vibaya, kama uliipeleka kwa fundi itabidi uanze nae huyo.

Kuhusu kutuma sms za matusi inaonekana wewe mwenyewe unapendelea sana kuchat jumbe zenye matusi ndani yake aidha unatumiaga kama kibwagizo ukiwa unachat na masella, au kimewahi kuumana uko ukamuwasha mtu na matusi.
Kwa kawaida hizi simu janja huwa zinatunza kumbukumbu ya maneno ambayo huwa tunayatumia mara kwa mara.

Sasa kwa maelezo hayo haiwezi kuwa sababu moja kwa moja hivyo inachangiwa sana na sababu hii, hiyo simu inaonekana ime-settiwa out select text katika keyboard hasa kwenye uwanja wa messages.

Kulitatua tatizo kwa mda mfupi hapo hapo ulipo nenda setting (SMS setting) badilisha io out select text iwe off hapa tatizo litakua limeisha.

Baadae ndio utashughulika na touchscreen, kama touch haina shiida yeyote basi hakikisha kabla hujaiweka simu mfukoni uwe umeilock(weka password/pini ili hata ikijibonyeza power button isifunguke mpaka kwenye faili lolote).
 
Ahsante kwa masahihisho
Usikubali kukosolewa kimakosa ulivyoitamka wewe kuringisha ndio kiswahili sanifu na fasaha na sio kulingisha hicho Ni kiswahili Cha watu wa bara.
Katika kiswahili hakuna msamiati wa neno "linga" Bali Kuna neno "ringa."
 
Kama ni hivyo... basi shida itakua kwenye touchscreen aidha imechoka sana (imepasuka) ama touch imekaa vibaya, kama uliipeleka kwa fundi itabidi uanze nae huyo.

Kuhusu kutuma sms za matusi inaonekana wewe mwenyewe unapendelea sana kuchat jumbe zenye matusi ndani yake aidha unatumiaga kama kibwagizo ukiwa unachat na masella, au kimewahi kuumana uko ukamuwasha mtu na matusi.
Kwa kawaida hizi simu janja huwa zinatunza kumbukumbu ya maneno ambayo huwa tunayatumia mara kwa mara.

Sasa kwa maelezo hayo haiwezi kuwa sababu moja kwa moja hivyo inachangiwa sana na sababu hii, hiyo simu inaonekana ime-settiwa out select text katika keyboard hasa kwenye uwanja wa messages.

Kulitatua tatizo kwa mda mfupi hapo hapo ulipo nenda setting (SMS setting) badilisha io out select text iwe off hapa tatizo litakua limeisha.

Baadae ndio utashughulika na touchscreen, kama touch haina shiida yeyote basi hakikisha kabla hujaiweka simu mfukoni uwe umeilock(weka password/pini ili hata ikijibonyeza power button isifunguke mpaka kwenye faili lolote).
Asante kwa ushauri
 
Usikubali kukosolewa kimakosa ulivyoitamka wewe kuringisha ndio kiswahili sanifu na fasaha na sio kulingisha hicho Ni kiswahili Cha watu wa bara.
Katika kiswahili hakuna msamiati wa neno "linga" Bali Kuna neno "ringa."
Duh kumbe msahihishaji ndio kaingia chaka naomba anyang'anwe point zote alizoscore kwa kunisaahihisha
 
Back
Top Bottom