Simu ipi yenye camera nzuri?

We ni jinsia gani na una miaka mingapi?

Maana haya mambo ya simu yenye kamera nzuri ni ya wadada na wale jamaa walamba lipsi.

Mwanaume miliki simu ya kawaida ya laki 2.

Am sorry kwa kukupa vidonge vyako!

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
We ni jinsia gani na una miaka mingapi?

Maana haya mambo ya simu yenye kamera nzuri ni ya wadada na wale jamaa walamba lipsi.

Mwanaume miliki simu ya kawaida ya laki 2.

Am sorry kwa kukupa vidonge vyako!

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Kasema anataka simu kwa ajili ya kupiga picha bidhaa zake na kupost kwenye mitandao ya kijamii
Sasa ukipost bidhaa, picha zake low quality utavutia vipi wateja?
 
Dunia nzima inajua kuna simu nyingi tu nzuri za hiyo budget, kwamba Samsung Galaxy S24 FE ni simu mbaya? Au Xiaomi 15T ni simu mbaya? Unafuatilia hata review za simu wewe?
Sasa hizo takataka unafananisha na iPhone 17 Pro Max? Hayo ma infinix yaliyochangamka?
 
Sasa hizo takataka unafananisha na iPhone 17 Pro Max? Hayo ma infinix yaliyochangamka?
Hakuna anayefananisha na iPhone 17 Pro Max. Ni kwamba huwezi kupata iPhone 17 Pro Max kwa milioni 1.3
Na ili simu iwe na kamera kali hakuna ulazima wa kuifikia iPhone 17 Pro Max. Mleta mada anataka simu yenye kamera nzuri ya milioni 1.3. Na zipo nyingi tu, ila sio iPhone 17 Pro Max, hiyo ni flagship kwa hiyo ni more expensive
 
Endeleeni na Mjadala wenu I’m out
 
Biashara ya salon ya kike inalipa mkuu??
Na je mtaji unaweza kuwa shingapi? Na kama una maelezo zaidi kuhusu hio biashara ya salon yakike fafanua mkuu.
 
Kama video = iPhone
Kama picha = Pixel
Kama vyote (balanced) = Samsung

Kwa budget ya 1.3m unapata iPhone 15 au 16 ukibahatisha au 14 Pro uhakika.

Kwa iPhone chukua size kubwa utakayopata, storage zinajaa chap mwenyewe utashangaa.
 
Kwa bajeti yako tafuta Google pixel 9 XL
 
Kasema anataka simu kwa ajili ya kupiga picha bidhaa zake na kupost kwenye mitandao ya kijamii
Sasa ukipost bidhaa, picha zake low quality utavutia vipi wateja?
kaka watu wana vichwa vigum sanaπŸ˜€
 
Kama video = iPhone
Kama picha = Pixel
Kama vyote (balanced) = Samsung

Kwa budget ya 1.3m unapata iPhone 15 au 16 ukibahatisha au 14 Pro uhakika.

Kwa iPhone chukua size kubwa utakayopata, storage zinajaa chap mwenyewe utashangaa.
iPhone 15 na 16 kwa 1.3million???? Labda 14 uko nchi gani we chizi?


 
We ni jinsia gani na una miaka mingapi?

Maana haya mambo ya simu yenye kamera nzuri ni ya wadada na wale jamaa walamba lipsi.

Mwanaume miliki simu ya kawaida ya laki 2.

Am sorry kwa kukupa vidonge vyako!

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Mwanaume unampaje mwanaume mwenzako vidonge vyake, huoni hiyo statement imekaa kiupinde upinde?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…