Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,988
- 9,213
nunua lg g2 mpya au second hand note 3 kwa bei hio. roughly zina same specs kama full hd screen, sd 800 processor, 4g lte, nk
lg g2 ina ram 2gb na note 3 ni 3gb.
kuna jamaa anauza lg g2 humu kwa laki 3 na nusu na kaymu zipo nyingi tu around laki 4. just make sure tu band za 4g zinafanana na mitandao yetu.
mkuu kivipi hapo kwenye red, unaweza kufanya nisiwalaumu tigo maana kila simu nayowapelekea kuunga 4g wanasema haipo kwenye code zao
watu walioekwa tigo/mitambo yao ya kucheck bands haina usahihi asilimia 100% ni vyema ucheki mwenyewe nyumbani ukifika kule sajili tu line.
ingia gsmarena search simu yako then angalia bands zake. tigo ni 800mhz
ila kuwa makini simu moja inaweza kuwa na variety nyingi mfano ni hio lg g2 ipo d800, d801, d802 nk na kila moja ina band zake tofauti. uzuri ni kwamba gsmarena pia huzinyambua band kwa kila aina ya simu
watu walioekwa tigo/mitambo yao ya kucheck bands haina usahihi asilimia 100% ni vyema ucheki mwenyewe nyumbani ukifika kule sajili tu line.
ingia gsmarena search simu yako then angalia bands zake. tigo ni 800mhz
ila kuwa makini simu moja inaweza kuwa na variety nyingi mfano ni hio lg g2 ipo d800, d801, d802 nk na kila moja ina band zake tofauti. uzuri ni kwamba gsmarena pia huzinyambua band kwa kila aina ya simu
note 2 ipi?nimeenda ila sion hiyo
natumia note 2
note 2 ipi?
n7105 ndio ina 4g ya tigo na ttcl
kama una uhakika ni n7105 kasajili tu line, ukifika pale waambie una iphone 6s lakini umeisahau kazini unataka line ya 4gn7105 lakini tigo wanasema et hawana code nifanyeje mkuu
kama una uhakika ni n7105 kasajili tu line, ukifika pale waambie una iphone 6s lakini umeisahau kazini unataka line ya 4g
duuhh nikaseme UONGO tena mkuu, kwani nikisema na N7105 watakataa??
au sony Z versionsOngezea hela ununue iphone,achana na hayo makopo.
we jamaa kweli unazjua cm😀Kanunue sony xperia uwe mjanja
Habari Wilhelm Johnny tafadhali tembelea tovuti ya Kaymu bofya Mobile Phones | Buy Smartphones, Samsung, HTC, Tecno, iPhones | Kaymu utapata simu nzuri kwa mahitaji yako na bajeti yako pia. AsanteNaombeni mnisaidie simu ipi nzuri nina shilingi laki 4 (400000)