Simu ipi ni nzuri?


mkuu kivipi hapo kwenye red, unaweza kufanya nisiwalaumu tigo maana kila simu nayowapelekea kuunga 4g wanasema haipo kwenye code zao
 
mkuu kivipi hapo kwenye red, unaweza kufanya nisiwalaumu tigo maana kila simu nayowapelekea kuunga 4g wanasema haipo kwenye code zao

watu walioekwa tigo/mitambo yao ya kucheck bands haina usahihi asilimia 100% ni vyema ucheki mwenyewe nyumbani ukifika kule sajili tu line.

ingia gsmarena search simu yako then angalia bands zake. tigo ni 800mhz

ila kuwa makini simu moja inaweza kuwa na variety nyingi mfano ni hio lg g2 ipo d800, d801, d802 nk na kila moja ina band zake tofauti. uzuri ni kwamba gsmarena pia huzinyambua band kwa kila aina ya simu
 

nimeenda ila sion hiyo

natumia note 2
 


4G bands LTE band 3(1800), 7(2600), 8(900), 20(800) - N7105

hizo hapo lakiin tigo mbona wanasema hawana??
 
Wataalam Habari Ya Majukumu
Naomba Nijulishwe Uzuri Na Ubaya Wa Samsung Galaxy Core Prime
 
Chief-mkwawa nataka kununua Microsoft Lumia 640XL je IPO vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…