Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
Jambo JF!
Kwa wakati wa mwanzo ilionekana simu hasa hizi mob.... kua zinachangia kwenye uhalifu mwingi kwa watu wasio waaminifu.
Sasa jamaa yangu ananieleza kua hiyo siku alipokea sim ya dada asiemfaham...alipomuuliza huyo dada ataje jina lake...hakujibu.
Lakini jamaa nae akawa akimtafuta...hatimae wakawa wakipigiana sim ...wakijuliana hali na kubadilishana mawazo...
Hatimae jamaa amemuoa.
1-Je hili walionaje?
2-Watafika mbali hawa?
Nawakilisha.
Kwa wakati wa mwanzo ilionekana simu hasa hizi mob.... kua zinachangia kwenye uhalifu mwingi kwa watu wasio waaminifu.
Sasa jamaa yangu ananieleza kua hiyo siku alipokea sim ya dada asiemfaham...alipomuuliza huyo dada ataje jina lake...hakujibu.
Lakini jamaa nae akawa akimtafuta...hatimae wakawa wakipigiana sim ...wakijuliana hali na kubadilishana mawazo...
Hatimae jamaa amemuoa.
1-Je hili walionaje?
2-Watafika mbali hawa?
Nawakilisha.