SIMU IMEIBIWA

SIMU IMEIBIWA

yahoocom

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
331
Reaction score
380
WAandugu habarini nimeibiwa simu aina ya sumsang J5 grand prime. Nimeripot kituo cha police na kufungua jalada la uchunguzi. Nina IMEI namba za hiyo simu. Kikubwa nilipapuliwa na Boda Boda wakati npo nnaongea. Nnaombeni ushauri na namna nnaweza ipata simu yangu. Natanguliza shukrani
 
Duh!! Pole,aisee kuibiwa simu ni maumivu ya kisaikolojia. Maana kinaondoka kitu ambacho ulikipenda na kula nacho muda wote
 
WAandugu habarini nimeibiwa simu aina ya sumsang J5 grand prime. Nimeripot kituo cha police na kufungua jalada la uchunguzi. Nina IMEI namba za hiyo simu. Kikubwa nilipapuliwa na Boda Boda wakati npo nnaongea. Nnaombeni ushauri na namna nnaweza ipata simu yangu. Natanguliza shukrani

Kama una IMEI namba basi TCRA watawaambia polisi kama inatumika au la na huenda mwizi au mnunuzi atapatikana.
 
Asanteni kwa michango, kwa kweli kuibiwa simu tena smart phone nilihisi kunyanganywa kila kitu! Mimi ndo nnaenda tcra au mpelelezi wangu? Tafadhari tusaidiene kwenye hili maana huyu mpelelezi anasema kupata print out kwamba inasumbua!
 
Kwani boda boda hukuichungulia plate namba hata kwa mbali?. Ulishindwa kuchukua boda ya dharula jirani yako na kuifukuzia?, pole sana....ila utapata simu yako japo muda utakuwa umeenda sana
 
Asanteni kwa michango, kwa kweli kuibiwa simu tena smart phone nilihisi kunyanganywa kila kitu! Mimi ndo nnaenda tcra au mpelelezi wangu? Tafadhari tusaidiene kwenye hili maana huyu mpelelezi anasema kupata print out kwamba inasumbua!
hahaha .. anakupanga kisaikolojia ili akutoe pesa . ahahha wabongo bwana wezi sana.

mwizi kakuibia ila mpelelzi naye anataka kukuibai wazi wazi
 
Sometime unaweza kuipata kwa email incase hajaiflash.

Ingia playstore na simu nyengine search device manager au find my device kisha login na email ya simu ilioibiwa na ujaribu kuitrack.
 
Kwani boda boda hukuichungulia plate namba hata kwa mbali?. Ulishindwa kuchukua boda ya dharula jirani yako na kuifukuzia?, pole sana....ila utapata simu yako japo muda utakuwa umeenda sana

Boda Boda ilikua MC352 helufi zilizoendelea sikuweza zipata. Hapakuwa na boda boda karibu hata watu msaada ningeweza pata kambi ya jeshi lakini wao wamejifungia ndani ya ukuta mpaka kufika getini alikua ashatokomea
 
Boda Boda ilikua MC352 helufi zilizoendelea sikuweza zipata. Hapakuwa na boda boda karibu hata watu msaada ningeweza pata kambi ya jeshi lakini wao wamejifungia ndani ya ukuta mpaka kufika getini alikua ashatokomea
Dah pole sana!
 
Sometime unaweza kuipata kwa email incase hajaiflash.

Ingia playstore na simu nyengine search device manager au find my device kisha login na email ya simu ilioibiwa na ujaribu kuitrack.
mkuu kama simu iliibiwa na gps ilikuwa ipo off na data off, je hiyo device manager itaonesha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom