Simu gani nzuri kwa bajeti ya laki 2?

Simu gani nzuri kwa bajeti ya laki 2?

Na hii
20220729_104256.jpg
 
Infinix 12i haina issue mkuu Helio A22 kimeo.

Kama unaweza kuongeza mpaka 280,000 cheki Xiaomi redmi 9 Tigoshop simu nzuri sana kwa hio budget.

Hio Samsung A03 pia sio mbaya, iwe A03 lakini na sio A03s ama A03 core maana hizo mbili hazifikii A03 kwa perfomance.

Incase huna 280,000 hio redmi 9 inakuja na GB za bure, mtu akuongezee hela Uza GB zako.

Majina yakariri kama yalivyo kuna Redmi 9A na redmi 9C sio hizo iwe redmi 9 plain bila chochote.
Hii Redmi ambayo utainunua Tigo Shop inasoma line zote?
 
Back
Top Bottom