Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,373
- 2,267
Duh, kwahyo hapo laki mbili ni Tecno TU sioKamtembelee huyu jamaa twitter hautakosa kitu roho inapenda
View attachment 2319488
Shingapi hii?VivoYs1 247 Tigo shop pamoja na Ofa ya Gb camera Mp 13 Ram 2 storage 32Gb
Infinix 12i haina issue mkuu Helio A22 kimeo.Wakuu kwema,
Natafuta simu Kwa bajeti hiyo..ikizidi sana 250.
Simu Gani nzuri??
Nilikuwa nawaza hapa kati ya Samsung A03 au Infinix 12i ipi nichukue?
Mwl.RCT
Infinix hot 12i huwezi kupata kwa bei hiyoWakuu kwema,
Natafuta simu Kwa bajeti hiyo..ikizidi sana 250.
Simu Gani nzuri??
Nilikuwa nawaza hapa kati ya Samsung A03 au Infinix 12i ipi nichukue?
Mwl.RCT
Asante umetusaidia wengi, hv hii smu inayouzwa tgoshop iko network locked?Infinix 12i haina issue mkuu Helio A22 kimeo.
Kama unaweza kuongeza mpaka 280,000 cheki Xiaomi redmi 9 Tigoshop simu nzuri sana kwa hio budget.
Hio Samsung A03 pia sio mbaya, iwe A03 lakini na sio A03s ama A03 core maana hizo mbili hazifikii A03 kwa perfomance.
Incase huna 280,000 hio redmi 9 inakuja na GB za bure, mtu akuongezee hela Uza GB zako.
Majina yakariri kama yalivyo kuna Redmi 9A na redmi 9C sio hizo iwe redmi 9 plain bila chochote.
Za Xiaomi mkuu hazina lock, unatumia mtandao wowote line zote mbili. Ila zipo zenye lock brand nyengine.Asante umetusaidia wengi, hv hii smu inayouzwa tgoshop iko network locked?
Nimeulizia Jana dukani ni 250Infinix hot 12i huwezi kupata kwa bei hiyo
Labda infinix smart 6
itel hapana Kwa kweliKwa hiyo hela because itel yenye warranty ya miaka miwili
Infinix 12i haina issue mkuu Helio A22 kimeo.
Kama unaweza kuongeza mpaka 280,000 cheki Xiaomi redmi 9 Tigoshop simu nzuri sana kwa hio budget.
Hio Samsung A03 pia sio mbaya, iwe A03 lakini na sio A03s ama A03 core maana hizo mbili hazifikii A03 kwa perfomance.
Incase huna 280,000 hio redmi 9 inakuja na GB za bure, mtu akuongezee hela Uza GB zako.
Majina yakariri kama yalivyo kuna Redmi 9A na redmi 9C sio hizo iwe redmi 9 plain bila chochote.
Lipi Hilo?Tekno flani hivi linakaa na chaji hatari
line zote mkuuUzuri wa hiyo Infinix ni 64gb na camera yake Kwa nilivoona ni kali kuliko hyo Samsung A03 yenye 32gb.
Labda Kwa upande wa processor ndo sijajua.
Okay asante mkuu, ntaenda kuulizia hyo Xiaomi. Hivi hizi za tigo ndo zinakuwa lazima laini Moja uweke tigo eti?
Hiyo Redmi 10C ni moto sana, jitutumue uichukue mkuu..Duh, kwahyo hapo laki mbili ni Tecno TU sio
Redmi 9 inaikalisha Redmi 10A kila idara, probably hizo ni simu ambazo anauza yeye.Kamtembelee huyu jamaa twitter hautakosa kitu roho inapenda😋
View attachment 2319488