Simu nzuri kwa mpangilio
Xiaomi redmi 10C kwa 310,000
Xiaomi redmi 9 kwa 280,000
Samsung galaxy A03 kwa around 250k
10c na 9 hizo redmi zinapatikana Tigo ila naona zimeanza kuwa adimu, Tigo saba saba wanakua na ofa miaka yote ushauri wangu wiki hii na inayokuja usikae mbali na Page ya Tigo za social network ukipata moja wapo sio mbaya, pia siku hizi wana redmi 12C ni nzuri pia kama unakosa 10C.
Samsung A03 (sio A03s wala A03 core) ni nzuri nayo, sio Nzuri kama hizo huko juu ila upatikanaji wake ni mrahisi.