Simu gani nzuri kwa bajeti ya laki 2?

Simu gani nzuri kwa bajeti ya laki 2?

Za Xiaomi mkuu hazina lock, unatumia mtandao wowote line zote mbili. Ila zipo zenye lock brand nyengine.
Asante japo mi napendaga sana zile font za samsung ktu ambacho kinanfanya nipende simu za samsung japo naogopaga kioo cha samsung kikipasuka ni bei ghari sana
 
Sony XZ1
Storage 64gb
Ram 4gb
Finger Print
Megapixel 19
IMG-20220810-WA0001.jpg
 
ingia kikuu soma specification vizur za simu kwa hyo hela unapata huawei vivo oppo kali tu japo sipendi iPhone ila zipo pia
 
Daa tuko tofauti sana ..kwangu kuchagua simu ni zaidi ya kuchagua pisi kali ..bora niwe na pisi mbovu kuliko simu mbovu kampuni mbovu
 
Vioo vya bei ni vya amoled, Samsung zenye lcd vioo sio bei.
Chief, kati ya hz smu mbili ulizoztaja ni ipi inakaa na chaji mda mrefu, camera nzuri na haisumbui kwny kushika mtandao mana kuna cmu nyngne ukitoka tu nje ya mji basi laini hazisomi
 
Vioo vya bei ni vya amoled, Samsung zenye lcd vioo sio bei.
Mkuu nina Samsung s10+,nimevunja kioo,
Nimejaribu kufanya mchakato wa kukibadilisha naona gharama zake ni sawa kununua mpya...

Sasa nina budget ya 650,000tsh
Nataka ninunue simu ingine ila sijajua kwa budget hii naweza pata simu gani bomba..

Vigezo vyangu cha kwanza
Camera
Performance
Storage
Uweko wa kukaa na chaji
 
Back
Top Bottom