Simu Bora za Kichina kwa Bei Rahisi kabisa

Wadau mimi binafsi sijawahi kuwa mpenzi wa simu. Nimekuwa na simu simple tu sababu matumizi yangu makubwa ya simu ni Internet na Camera. Sina mambo mengi.

Nimepata wazo la kuwa na simu ya kichina ambayo itakuwa bora kwa bei nafuu isiyozidi tsh 400,000 simu ya uchumi wa kati. Naombeni ushauri wenu kwa kuzingatia.
1. Ukaaji wa chaji
2. Fast Internet
3. Best Pictures
4. Memory kubwa pia

Tusizungumzie Samsung, Apple n.k hizo hapana. Nahitaji hizi za kichina kama Xiomi, Real Me,Vivo, Oppo and the like. Ukiacha za Tecno,Infinix,Itel hizo hapana.

Nawasilisha pia picha mnisaidia kuchagua kwa utaalamu wenu




View attachment 2012000View attachment 2012002View attachment 2012003View attachment 2012004View attachment 2012000View attachment 2012002View attachment 2012003View attachment 2012004
Tafuta iPhone 13v zinazotengenezwa Bujumbura , zinauzwa laki na nusu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Inafikia mil 5+. Tanzania simu kama hii ni chache kwa sababu ya hali ya uchumi. Na ukienda kichwa kichwa utapigwa na feki. Kimsingi Bongo unapotaka kununua simu inatakiwa uwe makini sana. BTW mimi ni bora niingie gharama kidogo na ninunue hata used Iphone kuliko kununua hizi za mchina. Hazina maisha marefu na zina maluweluwe sana.
Nilikua namuuliza makisudi huyo aliyembishia mwenzake kuwa hamna samsung ya 5M
 
Mkuu natumia xiom redmi note 10s.
Sijawahi kujuta.
128 storage.
Rear 64 pixel.
Front 13 pixel.
Rams 6.


Haijawahi kuniangusha.
 
Back
Top Bottom