Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,684
- 40,304
Successor wa e61i ni e63 na successor wa e63 ni e71 na huyu akawa e72 then akaja e5.
E5 ndo best qwerty ya nokia no way kumfananisha na yoyote.mikononi naona wanaziuza e5 hadi laki 1 mpya mpya maana hawajui uwezo wake lakini simu kama e61 utakuta bei ghali sababu ya apearence.
E61 ni ya 2007 wakati e5 ya 2011, e61 ina ram 64mb wakati e5 ina 256mb
mkuu chief-mkwawa mbadala wa hiyo nokia e5; nikimaanisha yenye uwezo kama huo lakini button zake sio za qwerty ni ipi?
Last edited by a moderator: