Simu bora yenye Speed katika internet ni ipi?

Simu bora yenye Speed katika internet ni ipi?

Successor wa e61i ni e63 na successor wa e63 ni e71 na huyu akawa e72 then akaja e5.

E5 ndo best qwerty ya nokia no way kumfananisha na yoyote.mikononi naona wanaziuza e5 hadi laki 1 mpya mpya maana hawajui uwezo wake lakini simu kama e61 utakuta bei ghali sababu ya apearence.

E61 ni ya 2007 wakati e5 ya 2011, e61 ina ram 64mb wakati e5 ina 256mb

mkuu chief-mkwawa mbadala wa hiyo nokia e5; nikimaanisha yenye uwezo kama huo lakini button zake sio za qwerty ni ipi?
 
Last edited by a moderator:
Hata Nokia Asha 200 ni nzuri huku Tarime ni Tshs 170,000/= iko poa kwa hizo mambo za net na pia java applications. Yaani ukitaja hayo maOperamini mzuka unanipanda yametulia. Nimeanza kuyatumia 2007

Asha 200 itakuzingua,inasumbua sana net,very slow
 
tumia E71 tu inatosha kabisa mana itakurahisishia mambo mengi sana ,jaribu we mwenyewe utaniambia
 
nokia E61i ndo kila kitu kuhusu net speed
 
hivi jamani ni wote wanapenda qwerty na touchscreen?

Kama hupendi qwerty (button nyingi a-z) na hutaki touch basi candybar nzuri on the market ni nokia c5-00 5mp.
nokia-c5-00-5mp1.jpg


-Why nataja hii? Kwanza ina speed 10mbps hii inamaana kama eneo ulipo voda au mtandao mwengine unafika 800KBps hadi 900 kwa simu hii utafkisha kuanzia 1MBps na kuendelea sababu modem za voda na mitandao mengine tz inaishia 7.2mbps sawa na 900KBps.

Kama mpenzi wa qwerty button nyingi kwenye block la nokia nenda kwa e5 na block la android nenda kwa samsung galaxy chat.

Samsung-Galaxy-Chat1.jpg


Hii ni simu mpya ya samsung ina touch na qwerty mi pia imenivutia speed ni 7.2mbps inatumia android ice cream sandwitch na itakua upgraded kwenda jelly bean. Ni simu pekee ya android yenye os hio kwa bei chini ya laki 3

mkuu chief-mkwawa hiyo candybar c5-00 inasapoti 3G kwenye internet??
Na kama sio naomba unisaidie aina nyingine ambayo ni affordable price iwe ni nokia
 
mkuu chief-mkwawa hiyo candybar c5-00 inasapoti 3G kwenye internet??
Na kama sio naomba unisaidie aina nyingine ambayo ni affordable price iwe ni nokia

yah inasupport tena ni better zaidi ya modem mpya za voda (e173 na e303 ) ambazo ni 7.2 simu hii ni 10 mbps

sema be carefull ni c5-00 nyuma imeandikwa 5mp na sio c5 za kawaida ambazo ndio nyingi
 
yah inasupport tena ni better zaidi ya modem mpya za voda (e173 na e303 ) ambazo ni 7.2 simu hii ni 10 mbps

sema be carefull ni c5-00 nyuma imeandikwa 5mp na sio c5 za kawaida ambazo ndio nyingi

Chief Mkwawa i salute u! Kwa kuzijua simu za nokia tu nakupa mia! Ila kwa nini usibadili hili jina ujiitte MR. NOKIA? Maana mzee unatisha, baba lumia niambiiiiiiiieeee!
 
Chief Mkwawa i salute u! Kwa kuzijua simu za nokia tu nakupa mia! Ila kwa nini usibadili hili jina ujiitte MR. NOKIA? Maana mzee unatisha, baba lumia niambiiiiiiiieeee!

mkuu nokia ndio kila kitu binafsi hata mimi nazikubali sana
 
hivi jamani ni wote wanapenda qwerty na touchscreen?

Kama hupendi qwerty (button nyingi a-z) na hutaki touch basi candybar nzuri on the market ni nokia c5-00 5mp.
nokia-c5-00-5mp1.jpg


-Why nataja hii? Kwanza ina speed 10mbps hii inamaana kama eneo ulipo voda au mtandao mwengine unafika 800KBps hadi 900 kwa simu hii utafkisha kuanzia 1MBps na kuendelea sababu modem za voda na mitandao mengine tz inaishia 7.2mbps sawa na 900KBps.

Kama mpenzi wa qwerty button nyingi kwenye block la nokia nenda kwa e5 na block la android nenda kwa samsung galaxy chat.

Samsung-Galaxy-Chat1.jpg


Hii ni simu mpya ya samsung ina touch na qwerty mi pia imenivutia speed ni 7.2mbps inatumia android ice cream sandwitch na itakua upgraded kwenda jelly bean. Ni simu pekee ya android yenye os hio kwa bei chini ya laki 3

kaka nipe bei ya hiyo nokia c5-000,naipenda sana hyo cmu,mimi niko dsm
 
Chief Mkwawa i salute u! Kwa kuzijua simu za nokia tu nakupa mia! Ila kwa nini usibadili hili jina ujiitte MR. NOKIA? Maana mzee unatisha, baba lumia niambiiiiiiiieeee!

mkuu ila sku hizi wanatuforce tuhamie touch screen hawatoi tena simu za qwerty na candybar za ukweli kama zamani tunabaki bila choice ila kuhamia touch screen. Wish watoe lumia yenye keyboard hata ya kuslide kiupande
 
Nunua Nokia 6730c. Ina umbo zuri, si kubwa, ina 3.5G network,. Ni rahisi kutumia, i hope chief mkwawa anaweza kuinyambuanyambua vyema specification zake.
811217_0_original.jpg
 
Last edited by a moderator:
yah inasupport tena ni better zaidi ya modem mpya za voda (e173 na e303 ) ambazo ni 7.2 simu hii ni 10 mbps

sema be carefull ni c5-00 nyuma imeandikwa 5mp na sio c5 za kawaida ambazo ndio nyingi

daaah! Sasa mbona mkuu hapo naweza ingia chaka mimi dukani na hapa net nimezikuta nyuma zimeandikwa c5-00; inakuwaje hapo!?
 
daaah! Sasa mbona mkuu hapo naweza ingia chaka mimi dukani na hapa net nimezikuta nyuma zimeandikwa c5-00; inakuwaje hapo!?

ndo hio hio mkuu nyuma imeandika 5 megapixel unaweza tusaidia na bei
 
Back
Top Bottom