Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
- Thread starter
- #21
Atakuwa kamsevu 'battery law' sasa masharon akicheki screen anajua ni battery law, kumbe loooh shemu anapiga! Mambo ya simu jamani ni kichefu chefu!
SL mbona wakoleza? Haiwezi kuwa ivo,kuna thread nililetaga hapa kuhusiana na hiyo unayozungumza.