Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
- Thread starter
- #41
Wewe huwa unapokea simu akikupigia?
Hujawahi kupitiwa simu yake 'ikakukoswa?
'
Jamani cm imesubirishwa sio hakupokea
Wewe huwa unapokea simu akikupigia?
Hujawahi kupitiwa simu yake 'ikakukoswa?
'
Huyo, huyo....sijawahi kuchekewa mimi. au we unamzungumzia hamisi kishondindo?
Haya mambo ukitifua tifua utaachana asbh, mchana na jioni!
Mengine potezea tu, jiaminishe ma sharon alichukua simu basi! chimbua chimbua utoke na cha kutoka nacho!
Huyo, huyo....
sipendi niwe nimelala halafu lijitu linanipigia simu tena usiku wote huo. tunaharibiana pozi.
Samehe! Maisha yaendelee. Hakuna siri duniani, kama kuna kitu iko siku utagundua...njia ya mwongo ni fupi sana!Kwa maelezo yake huwa anampa.lakn cha ajab hajawai nambia. Ila saa8 usiku?
yani we kama mimi kupigiana usiku wa manane sipendi haswa
teh teh teh teh teh teh
wewe ndo Mwajuma Kandambili?
Mmh! Haya mengine.
Ni wewe, kumbuka mwanakili amesema wenyewe ni kawaida yao...yani we kama mimi kupigiana usiku wa manane sipendi haswa
ni haya haya tu
yani we kama mimi kupigiana usiku wa manane sipendi haswa
Kumbe kusubirishwa tu ndo unaona tatizoa? (call waiting?)Jamani cm imesubirishwa sio hakupokea
hahahaha, wa mpwapwa ana hangover. huwezi jua labda alikuwa anaongea na mashosti. ila na wewe usiwe unamuharibia usingizi.lol
Huna mke hapo!call waiting saa 8 ucku!,napiga chn 4 gud!