Simpendi tena na wala simuamini tena

Simpendi tena na wala simuamini tena

mahusiano mi nikamwambia mwanaume mimi siwezi kuwa na mwanaume mwenye tabia km yako naomba nikaendelee na maisha yng hapo akakili kosa akampigia yule dada akambia waachane yale dada akuguma nika msamehe tukaendelea na maisha akaanza tena kazi mdada

......To be continue......
 
alivyoanza kz vikaanza visa ugomvi usio na sbb simu akaweka pswd siku moja nikakuta sms kwenye simu yke za mwanamke mwingine za mapenzi niliumia sn lkn ajabu hakuwa karibi yng kunibeleza wala hakuonyesha kujali sana alipokuwa akiniona nalia yy anache

anicheka hakuonyesha kujuta nakumbuka akaniuliza kwa kejeli sasa unamlilia nani hapa nliumia nilitamani kufa mpenzi nliyempenda na kumuani leo anionei huruma nikampigia yule mwanamke yule dada akanijibu mbona huyo mwanaume wko ameniambia hana
rudi juu mama. edit mada yako, weka hizi pamoja. watu hawakuelewi!
 
Nimecheka jamani khah!

Eti 'Grace Komba is typing...' mara hajanunuliwa simu ya kupangusa.
 
Sijaelewa au?

Kwani mwanaume wako amekufanyia nini?

Ulimfumania ama!

Funguka mleta sredi
 
Pole saana Grace ... kuna ule usemi usemao wanaumeme wote wamezaliwa na baba mmoja na mama mmoja. Hii ni kwa sababu tabia zao zinafanana ... hapa kahana udini, ukabila .... wala usomi...
C mzee c kijana ni kwa Neema tu
 
mbona hujatoa sababu za kutokumpenda...utakua unastress wewe..andika habari vizuri watu tutoe ushaur.!!!
 
Simuamini wala simpendi tena mwanaume wangu nimekuwa nae katika mahusiano huu mwaka wa3 sasa aliniomba anioe nikamkubalia.

Tatizo likawa upande wa dini kwakuwa nilimpenda sana sikuona tatizo kuwa Muislamu hata kama wazazi wasingependa baada ya makubaliano haya
.

Ushauri tafadhali

we da gire naye...huishiwi vituko!

haya, hivi hichi kisanga cha dushelele kiliishia vipi?...... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/513860-dushelele-lake-linanitia-hofu.html
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom