Simuamini wala simpendi tena mwanaume wangu nimekuwa nae katika mahusiano huu mwaka wa3 sasa aliniomba anioe nikamkubalia.
Tatizo likawa upande wa dini kwakuwa nilimpenda sana sikuona tatizo kuwa Muislamu hata
Ingekuwa kibonde hapa angesema,
Graceeeeeeeiiiii....iii
alivyoanza kz vikaanza visa ugomvi usio na sbb simu akaweka pswd siku moja nikakuta sms kwenye simu yke za mwanamke mwingine za mapenzi niliumia sn lkn ajabu hakuwa karibi yng kunibeleza wala hakuonyesha kujali sana alipokuwa akiniona nalia yy anache
Ah, mbona unasumbua Grace? Mbona husemi tatizo ni nini?
watu humu mnapenda stor
sanaaaaaaa
Mkuu utoe ushauri au upate flow?