Simpendi tena na wala simuamini tena

Simpendi tena na wala simuamini tena

Grace Komba

Senior Member
Joined
May 26, 2013
Posts
131
Reaction score
48
Simuamini wala simpendi tena mwanaume wangu nimekuwa nae katika mahusiano huu mwaka wa3 sasa aliniomba anioe nikamkubalia.

Tatizo likawa upande wa dini kwakuwa nilimpenda sana sikuona tatizo kuwa Muislamu hata kama wazazi wasingependa baada ya makubaliano haya.

Anicheka hakuonyesha kujuta nakumbuka akaniuliza kwa kejeli sasa unamlilia nani hapa nliumia nilitamani kufa mpenzi nliyempenda na kumuani leo anionei huruma nikampigia yule mwanamke yule dada akanijibu mbona huyo mwanaume wko ameniambia hana

Ushauri tafadhali
 
umebadilisha dini au?

hapana baada ya makubaliano hayo akanipeleka kwa wazazi wake kunitambulisha nashukuru walinipokea vizuri maisha yakaendelea kipindi hicho alikuwa hana kazi baada ya km mwaka akaja akapata kazi
 
Mbona unasimulia nusu nusu..mrembo!!!mwagika tukupe ushaur ok
 
hapana baada ya makubaliano hayo akanipeleka kwa wazazi wake kunitambulisha nashukuru walinipokea vizuri maisha yakaendelea kipindi hicho alikuwa hana kazi baada ya km mwaka akaja akapata kazi

Ah, mbona unasumbua Grace? Mbona husemi tatizo ni nini?
 
hapana baada ya makubaliano hayo akanipeleka kwa wazazi wake kunitambulisha nashukuru walinipokea vizuri maisha yakaendelea kipindi hicho alikuwa hana kazi baada ya km mwaka akaja akapata kazi

nini kimetokea haswa dada Grace Komba?
 
The thing about moyo ni kuwa 'moyo ni kigeugeu '
unaweza siku moja kuamka na kugundua huyo ndo
'love of your life' by then keshao na kukusahau
 
alivyoanza kz vikaanza visa ugomvi usio na sbb simu akaweka pswd siku moja nikakuta sms kwenye simu yke za mwanamke mwingine za mapenzi niliumia sn lkn ajabu hakuwa karibi yng kunibeleza wala hakuonyesha kujali sana alipokuwa akiniona nalia yy anache
 
mbona kama stori yako ina hang mamito hebu malizia kwanza tukushaur vizur
 
anicheka hakuonyesha kujuta nakumbuka akaniuliza kwa kejeli sasa unamlilia nani hapa nliumia nilitamani kufa mpenzi nliyempenda na kumuani leo anionei huruma nikampigia yule mwanamke yule dada akanijibu mbona huyo mwanaume wko ameniambia hana
Moderator tunaomba utuunganishie hizi post watu tuweze toa ushauri
 
Last edited by a moderator:
#Gracekomba bhana, navuta hisia ulivo mvivumvivu na teketeke. Be strong hata kuandika unashindwa, mapenzi utayaweza kweli.
 
mahusiano mi nikamwambia mwanaume mimi siwezi kuwa na mwanaume mwenye tabia km yako naomba nikaendelee na maisha yng hapo akakili kosa akampigia yule dada akambia waachane yale dada akuguma nika msamehe tukaendelea na maisha akaanza tena kazi mdada
 
The thing about moyo ni kuwa 'moyo ni kigeugeu '
unaweza siku moja kuamka na kugundua huyo ndo
'love of your life' by then keshao na kukusahau
Mkuu umemaliza kwa jinsi alivyoelezea tu stori yake "kipande" nimemuelewa anampenda sana jamaa hadi ikafika hatua ya kuona dini sio kikwazo na hata akawa kiziwi kwa maneno ya wazazi !!
Sema hapa amekurupuka tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom