Embu angalia ulicho post kwenye thread nyingine:
Tulizana wewe ki kicheche ......embu check hapa chini umeandika nini? Kwa hiyo unataka kuachana na mdogo mtu baada ya kumpata kaka mtu?
Embu angalia ulicho post kwenye thread nyingine:
Tulizana wewe ki kicheche ......embu check hapa chini umeandika nini? Kwa hiyo unataka kuachana na mdogo mtu baada ya kumpata kaka mtu?
Maisha ya cumpus huwa yanawazuzua sana mabinti wengi.we maliza shule urudi kitaa uone jinsi utakavoanza kushobokea hadi wasukuma mikokoteni.
ah! ah! ah! asante mzee mwenzangu kwa kunivunja mbavu nimechekaje. Mi nimesita kutoa ushauri nikajua niwale wale vicheche wa kule UWANJA WA FISI kazi yao kupenda pochi.
Not everything has to start up a Thread.
Pole yake huyo jamaa kashindwa kujua thamani yake.
Kwa kweli simpendi huyu kaka, kajitahidi vya kutosha kunionyesha ananipenda, kanipa kila kitu, tatizo hanisisimui, hanivutii hata, nimejaribu kujifunza kumpenda japo angalau niweze kumlipa wema alionifanyia lakin wapi, nimemwambia zaidi ya mara elfu kua hayupo moyóni lakin hataki kuelewa, yani ananiboa
Kuna kipindi nliamua nimpe chance myb baada ya kudate ningeweza kumlike lakini wapi, anatabia ya kupenda kunicontrol, mara oo usiende chuo ntakupa chochote unachohitaji, mara usiwe pic zako fb, uwe unantumia kwa wassap,, mara sipendi utoke na marafiki zako kama unataka kwenda out niambie ntakutoa,,,yan inshort alinichosha
His the guy I can call hata usiku wa manane and hell come to my rescue, lakn love, hapana moyo wangu umemkataa kata kata,
Love is something else kwa kweli.
Eid mubarak wanaMMU
CnaJina unaonaje kuacha kujibizana...
Just for the sake of your reputation...! Naona matusi yanazidi.
..This is purely Comedian life.... playing with feelings za mwanaume....UNAKULA FEDHA na VITU VYAKE HUKU UKIJUA HUMPENDI FOR YEARS....
....UTAKUJA KUFA UNAJIONA HIVI HIVI....na hivi unajisikiaje kutumia fedha na vitu vyake then unasema hataki aku control...??
...I hate women of ur type... na NGOJA UMALIZE SCHOOL....NAKUHAKIKISHIA UTAWEKA HATA PICHA ZA UCHI FB STILL UTAUZA HADI CORNER BAR.....mbunye itazeeka na HUTAOLEWA MWANAMKE WW....
....Na kama humpendi acha fedha na vitu vyake haraka na kata mawasiliano nae.....
....LIFE IS ONCE AND OVER... it seems ww kichwani ZERO TOO....a woman mwenye uelewa huwa yupo specific on many issues including MAPENZI....
....Just go on kulaaa, kunywaa na kufuja vitu vyake...unajijengea kaburi ww.... devil woman...eti anakufanyia kila kitu ... ur a dead walking woman..ghost I hope...acha ushamba... hawa F4 failure u fail in everything...damn...!!!!
..This is purely Comedian life.... playing with feelings za mwanaume....UNAKULA FEDHA na VITU VYAKE HUKU UKIJUA HUMPENDI FOR YEARS....
....UTAKUJA KUFA UNAJIONA HIVI HIVI....na hivi unajisikiaje kutumia fedha na vitu vyake then unasema hataki aku control...??
...I hate women of ur type... na NGOJA UMALIZE SCHOOL....NAKUHAKIKISHIA UTAWEKA HATA PICHA ZA UCHI FB STILL UTAUZA HADI CORNER BAR.....mbunye itazeeka na HUTAOLEWA MWANAMKE WW....
....Na kama humpendi acha fedha na vitu vyake haraka na kata mawasiliano nae.....
....LIFE IS ONCE AND OVER... it seems ww kichwani ZERO TOO....a woman mwenye uelewa huwa yupo specific on many issues including MAPENZI....I AM SURE...unaandika tu hapa LAITI WATU WANGEKUONA LABDA NI MCHAFUUU WA MWILI NA TABIA...NA UNA SURA MBAYA huvutiii... mwanamke mzurii..mrembo..mwenye tabia njema hawezi KUANDIKA UPUUZI HUU.... mbele wala nyuma huchezi, trust me..
....Just go on kulaaa, kunywaa na kufuja vitu vyake...unajijengea kaburi ww.... devil woman...eti anakufanyia kila kitu ... ur a dead walking woman..ghost I hope...acha ushamba... hawa F4 failure u fail in everything...damn...!!!!
oooohhhh! NAMELESS...tell me that u wer joking...otherwise.....
Kwa kweli simpendi huyu kaka, kajitahidi vya kutosha kunionyesha ananipenda, kanipa kila kitu, tatizo hanisisimui, hanivutii hata, nimejaribu kujifunza kumpenda japo angalau niweze kumlipa wema alionifanyia lakin wapi, nimemwambia zaidi ya mara elfu kua hayupo moyóni lakin hataki kuelewa, yani ananiboa
Kuna kipindi nliamua nimpe chance myb baada ya kudate ningeweza kumlike lakini wapi, anatabia ya kupenda kunicontrol, mara oo usiende chuo ntakupa chochote unachohitaji, mara usiwe pic zako fb, uwe unantumia kwa wassap,, mara sipendi utoke na marafiki zako kama unataka kwenda out niambie ntakutoa,,,yan inshort alinichosha
His the guy I can call hata usiku wa manane and hell come to my rescue, lakn love, hapana moyo wangu umemkataa kata kata,
Love is something else kwa kweli.
Eid mubarak wanaMMU