Simpendi hata kidogo

Simpendi hata kidogo

Wakuu mbona nahisi kama ni mim , ila mimi demu wangu ni mwana jf ,ndo tulikutana baadae fb
 
Huwasicomment huku lakini wewe maliza shule kwanza utawapata wa kukutapeli mpaka basi. Utamtafuta huyo na hutampata. Kwanini anakuzuia kwenda kwenye mtoko na wengine? Labda anakuona wewe ni rahisi kurubuniwa au unatamaa.Na kwa nini unachukua favour anazokupa kama humpendi? Bahati mbaya usije ukaolewa na asiyekupenda lakini. Think twice.
 
i can feel u. love hailazimishwi. kuwa wazi. tell him how u feel. but stop taking his "gifts", cuz unampa hopes ambazo si sawa.
however, mpe hii site imfumbue macho,
Hundreds of Free Articles on Meeting, Attracting, and Dating Women - Tips and Advice
Tatizo lake hakupi "Challenge" za wewe kumtaka.
but believe me, anakupenda ila hajui how. apitie hiyo link angalau atakubali kuwa "Attraction is not a Choice"(by David D'Angelo, hapa Official Double Your Dating | David DeAngelo's Double Your Dating) na hawezi kuilazimisha.
BUT warch out, utapenda mtu anayekunyanyasa....
 
Kwa kweli simpendi huyu kaka, kajitahidi vya kutosha kunionyesha ananipenda, kanipa kila kitu, tatizo hanisisimui, hanivutii hata, nimejaribu kujifunza kumpenda japo angalau niweze kumlipa wema alionifanyia lakin wapi, nimemwambia zaidi ya mara elfu kua hayupo moyóni lakin hataki kuelewa, yani ananiboa.

Kuna kipindi nliamua nimpe chance myb baada ya kudate ningeweza kumlike lakini wapi, anatabia ya kupenda kunicontrol, mara oo usiende chuo ntakupa chochote unachohitaji, mara usiwe pic zako fb, uwe unantumia kwa wassap,, mara sipendi utoke na marafiki zako kama unataka kwenda out niambie ntakutoa,,,yan inshort alinichosha.

His the guy I can call hata usiku wa manane and hell come to my rescue, lakn love, hapana moyo wangu umemkataa kata kata,

Love is something else kwa kweli.

Eid mubarak wanaMMU

Kama jamaa anajali hivo kiasi kwamba anytime ukimtafuta atakuja, atakua anakupenda sema hajui vitu flani flani, na labda wewe humwambii kama vinakukera, mfundishe mapenzi aendane na wewe unavyotaka, we mtu unamtosa bado anakung'ang'ania afu unashindwa kum-control bna?? Binti wa aina gani unashindwa huku umefatwa hivo, mnyooshe wewe aendane na unavyotaka, huezi jua kama ndio atakuja kua mtu safi kwako huko mbele, acha afu uende ukasumbuke kidogo kutafuta mtu mwenye mapenzi ya kweli afu uniambie kipi ni kazi zaidi....
 
Naona hiki ndio kisa cha hapendwi mtu linapendwa pochi lake.

Baniani mbaya kiatu chake dawa!

Ukiwa bado unasoma raha sana, unaishi katika ndoto nzuri, unakuwa na viwango vya kuchagua mpenzi,n.k. Ila tu unapoondoka chuoni...kuna kina dada tulikuwa nao Mlimani siku hizo nao wakiwa na mawazo kama ya huyu binti...karibu miaka 5 baadaye nikakutana na mmoja wao, hatamaniki hana hali wala viwango, sasa alikuwa tayari kwa yoyote mwenye nia...na wenye nia ni wa kuhesabu!
 
Kwa kweli simpendi huyu kaka, kajitahidi vya kutosha kunionyesha ananipenda, kanipa kila kitu, tatizo hanisisimui, hanivutii hata, nimejaribu kujifunza kumpenda japo angalau niweze kumlipa wema alionifanyia lakin wapi, nimemwambia zaidi ya mara elfu kua hayupo moyóni lakin hataki kuelewa, yani ananiboa.

Kuna kipindi nliamua nimpe chance myb baada ya kudate ningeweza kumlike lakini wapi, anatabia ya kupenda kunicontrol, mara oo usiende chuo ntakupa chochote unachohitaji, mara usiwe pic zako fb, uwe unantumia kwa wassap,, mara sipendi utoke na marafiki zako kama unataka kwenda out niambie ntakutoa,,,yan inshort alinichosha.

His the guy I can call hata usiku wa manane and hell come to my rescue, lakn love, hapana moyo wangu umemkataa kata kata,

Love is something else kwa kweli.

Eid mubarak wanaMMU
Usimpotezee muda wa wake huyo mwanaume wewe kama humpendi unangangana nae wa nini? Kweli fadhila za punda mateke,vilevile tenda wema nenda zako usingoje shukrani huna haja ya kumlipa fadhila kwa kumpenda kama umejaribu umeshindwa utampunguzia maumivu na kumrahisishia kila kitu ukimuachia huru aende zake.Umeshaweka fikra ya kwamba sio mtu mwenye vigezo unavyovitaka na ndio maana humpendi na hutoweza kumpenda.Huyo utakayekuja kumpenda ndio atakutia kimuhemuhe mpaka akili itakaa sawasawa!
 
Si ungenambia tu mpenz wangu jamani mpaka umeamua kunitangaza huku, but nitaendelea kukupenda kwa sababu umeuteka sana moyo wangu ni vigumu sana kuukubali ukweli huu mchungu sana kwamba hunipendi. Eid Mubarak nawe pia

acha ulofa wewe subiri akuue arithi mali atumie na youngboy
 
ni type na mabinti wanaosoma chuo lakini hawajielewi! Hawafikiri kuna maisha baada ya chuo, tamaa za kupenda vitu kama pesa, nguo, magari na kuoneshea wenzao kwamba anatoka na ma handsome boy wenye wallet nene ndo mpango mzima.
Kiufupi ni muendelezo wa ukicheche tu, hamna lolote. Na huyo jamaa keshawasoma aina ya marafiki ulionao na ndo maana hataki utoke nao out hao viruka njia wenzako.

Kiufupi tulizana usome, umalize shule then uje mtaani utafakari ili ujue mchumba wa kukuoa awe na character zip? Kiufupi huwezi kumpata aliye perfect 100%. Huyo jamaa naye ukimuuliza kuhusu wewe anaweza kukutoa kasoro kibao!

Soma historia ya Obama na Michelle Obama ujue walianziana wapi, kikubwa jifunze mindset ya michelle ilikuwaje juu ya Obama. Utaona jinsi wanawake wenye think tank kubwa wanavyoitizama future leo.
naunga mkono hoja!!!!!
 
Embu angalia ulicho post kwenye thread nyingine:




Tulizana wewe ki kicheche ......embu check hapa chini umeandika nini? Kwa hiyo unataka kuachana na mdogo mtu baada ya kumpata kaka mtu?

hahaaa umenichekeshaje!!!!!!!

huyu CnaJina mambo yake yanachekeshaga sana,asante kwa ulichomwambia

maana kuna siku nilikutana nae sehem na nyodo zake hizo ila nadhani hadi leo hawezi kunisahau
 
Last edited by a moderator:
Ngoja ukutane na wanaume worse than him ndo naona utamkumbuka, u have to knw dat its rare kupata mtu perfect ambaye ata meet all of ur qualities and likes.
 
Back
Top Bottom