Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
Lol hapana
Basi anakuvizia akupe VVU.
Lol hapana
Anajifanya msela kumbe dada poa x 3
kumbe dada poa x 3
masela wanang'oa x2
kumbe dada poa
masela wanang'oa
analiwa hata kwa buku
anashindwa kupiga buku.
Anagawa nyapu kwa buku.
Kuwa shule raha sana.
Maliza uje huku kwenye Ulimwengu halisi
Si ungenambia tu mpenz wangu jamani mpaka umeamua kunitangaza huku, but nitaendelea kukupenda kwa sababu umeuteka sana moyo wangu ni vigumu sana kuukubali ukweli huu mchungu sana kwamba hunipendi. Eid Mubarak nawe pia
...holy c***,..mi c mswahili..
Come clean! Usi beep.
... holy guacamole!! why use the C word pal?!
Acheni ujinga,MUGABE lazima ashinde uchaguzi
Natamani ningemjua huyo jamaa nikamshuri cha kufanya. Nilikutana na same position ya huyo jamaa about 3 months back. Nilikutana na binti mmoja nika fall in love so badly, in 3 weeks time nikawa nimeishampa zawadi za almost 2000 usd. kwa vile kazi zangu hunifanya niwe safarini mara kwa mara nilikuwa tayari kumlipia masters in uk this year. Nilimuonyesha upendo wa hali ya juu lakini akawa hasomeki kama hivi wewe. Mbaya zaidi nilimuuliza tangu mwanzo wa mahusino yetu kama yupo in relationship with someone else. N' she said yupo single, but on our way nikahisi hana hisia za kweli juu yangu nikasema na moyo wangu. Nikakubali maumivu makali ya mara 1 lakini kwa sasa nipo ktk kilele cha maumivu hayo naelekea kuwa huru na mwenye furaha.. btw unaweza kumuonyesha ujumbe huu huenda ukamfaa...
Minal faizin
Pole mkuu!
Ama kweli vice versa is true!
jaman cnajina anani2kana! i did nuting 2 her!
Kitu huyo jamaa angefahamu ya moyoni mwa huyu
Asante such is life
Bora nikuache, maana naona mambo yetu mimi na wewe umeyaleta JF
Yaa,i knw how it pain mkuu!coz unaempenda hakupendi, anaekupenda humpendi.....
Ctaki kukumbuka maumivu, ila Mungu mkubwa