Simpendi hata kidogo

Simpendi hata kidogo

Naona mnafarijiana


Nifajirini na mm basi

Ha haaa,cmfariji ndo hali halisi! Na wengi tunayapitia
...by the way,ushauri wangu km kweli humpendi na humuitaji achana nae,atafute anaemfaa, don waste his tym!serious
 
Ha haaa,cmfariji ndo hali halisi! Na wengi tunayapitia
...by the way,ushauri wangu km kweli humpendi na humuitaji achana nae,atafute anaemfaa, don waste his tym!serious

Guys! Trust me, huyu binti anampenda sana jamaa ila kaachwa. Hapa anajaribu kujenga psychological denial kujipunguzia maumivu asahau. She's too frustrasted to be conscious of herself!
 
Anakupenda sana, na wewe ungekuwa unampenda wala usingesema anakucontrol, ungetii kila anachokuambia. Muache kaka wa watu ampende anayestahili
......Mi nlimwambia ani pm no yake.....niongee na mshkaji nimweleze mambo anayo andika huku...ili asiwe anapoteza muda wa mshkaji ...amwache aconcetrate na mambo ya maana....mana unafki mbaya sana
 
......Mi nlimwambia ani pm no yake.....niongee na mshkaji nimweleze mambo anayo andika huku...ili asiwe anapoteza muda wa mshkaji ...amwache aconcetrate na mambo ya maana....mana unafki mbaya sana



Huo ni umbeya, utaolewa
 
wassup, fb, viber, kote upo..tango je..na badoo?..wewe ni design na mambo mengi aiseee...!!!
 
Bora kuwa padri kuliko kuwa na mwanamke asiye na shukrani kama wewe, haya mwache huyo na uende kwa huyo unaye mpenda then njoo tene na feedback hapa jamvini
 
Minalfaidhina...
kumbe upo watsap?

huyu mtu hajui kukudekeza naona..

Ewaaaaaaa.. Na hicho ndicho mwanamke akitakacho KUDEKEZWAAAA..uwiii. Sio mi ubabe ubabe isiyo na maana waiii.
 
Natamani ningemjua huyo jamaa nikamshuri cha kufanya. Nilikutana na same position ya huyo jamaa about 3 months back. Nilikutana na binti mmoja nika fall in love so badly, in 3 weeks time nikawa nimeishampa zawadi za almost 2000 usd. kwa vile kazi zangu hunifanya niwe safarini mara kwa mara nilikuwa tayari kumlipia masters in uk this year. Nilimuonyesha upendo wa hali ya juu lakini akawa hasomeki kama hivi wewe. Mbaya zaidi nilimuuliza tangu mwanzo wa mahusino yetu kama yupo in relationship with someone else. N' she said yupo single, but on our way nikahisi hana hisia za kweli juu yangu nikasema na moyo wangu. Nikakubali maumivu makali ya mara 1 lakini kwa sasa nipo ktk kilele cha maumivu hayo naelekea kuwa huru na mwenye furaha.. btw unaweza kumuonyesha ujumbe huu huenda ukamfaa...
Minal faizin

Inaelekea wewe ni mtunzaji mzuri na usie na mkono wa birika.. Hebu njoo huku pm mara moja nikunong'oneze lolz.
 
Wee mlie hela yake tuu dogo langu, zitakapomuishia atakimbia mwenyewe!

Cha mtu, akiliwi bule itamtokea puani, kama kweli hampendi toka mwanzo asingeendekeza kutendewa ya mtu na mpenzi wake. Huyo naye ni muhuni kapata alichotaka sasa anajidai hampendi hata kidogo. Usimshauri vibaya mwenzio hakuna vya bure siku hizi.
 
Inaezekana uko sahihi Faiza lkn kusema ukweli hata pesa zake sizitaki, simfeel kabisa lkn hanielewi, king'ang'anizi sana

Acha kutuongopea bibie, umetoka kutueleza hata umuhitaji usiku muda wowote anakuja, sasa unasema hata pesa zake hutaki. Acha unafki
 
Embu angalia ulicho post kwenye thread nyingine:




Tulizana wewe ki kicheche ......embu check hapa chini umeandika nini? Kwa hiyo unataka kuachana na mdogo mtu baada ya kumpata kaka mtu?

We mkali, nimekukubali mkuu, kweli huyu ni kicheche
 
wassup, fb, viber, kote upo..tango je..na badoo?..wewe ni design na mambo mengi aiseee...!!!

bado ujamalizia.. JF, we chat, twitter yani unaweza kuta mtu kashika smartphones, tablets na kinokia tochi kiko kweny pochi..
 
Back
Top Bottom